Nawaomba TFF wachukue mapema alama zote za Simba SC wapewe Yanga na Azam kabla Ligi Kuu ya NBC haijaanza

Nawaomba TFF wachukue mapema alama zote za Simba SC wapewe Yanga na Azam kabla Ligi Kuu ya NBC haijaanza

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa UPUMBAVU niliouona nina uhakika Alama zangu zote 6 naziacha kwa Yanga SC ( nikimaanisha Nakandwa ndani nje ) na Alama zangu 4 ( nikimaanisha Azam watanifunga Mechi moja na nyingine nitajitutumua nao kwa Sare ) hivyo GENTAMYCINE niwaombe tu TFF wala wasichelewe kufanya hili kwani wenye Kuujua Mpira na Kuutabiri Kimaono tumeshaona hilo na wala tusipoteze muda Kulijadili hili.

Mwisho wa Ligi Kuu ya Msimu huu huu ndiyo Msimamo wangu ninaoutabiri....

Bingwa Yanga SC
Mshindi wa Pili Azam
Mshindi wa Tatu Simba SC tunaotoa sababu ya Kitoto kuwa Timu yetu bado INATENGENEZWA wakati ni MBOVU

Nikimaliza huu UZI wangu bila ya Kuwapongeza wana Yanga SC kwa Mafanikio yao ya Kutufunga Simba SC na jana Kuchukua Ubingwa wa Ngao ya Jamii si tu kwamba nitakuwa na ROHO MBAYA bali nadhani pia nitakuwa ni MCHAWI na MWENDAWAZIMU niliyetukuka.

Ukweli ni kwamba Yanga SC wametuzidi WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio Timu bado INATENGENEZWA kwa kila Idara kuanzia katika Uongozi wao, Mikakati yao ya ndani na nje ya Uwanja na kubwa zaidi upande wa Wachezaji. Yanga SC ina WACHEZAJI ila WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio Timu bado INATENGENEZWA ina TAKATAKA tupu.

Na nina Exclusives Kabambe na Kali Tatu hakuna Yoyote aliyezitoa, ila naziacha kwakuwa NIKIWAONYA mnanipuuza.

Imeisha hiyo......!!
 
Kwa UPUMBAVU niliouona nina uhakika Alama zangu zote 6 naziacha kwa Yanga SC ( nikimaanisha Nakandwa ndani nje ) na Alama zangu 4 ( nikimaanisha Azam watanifunga Mechi moja na nyingine nitajitutumua nao kwa Sare ) hivyo GENTAMYCINE niwaombe tu TFF wala wasichelewe kufanya hili kwani wenye Kuujua Mpira na Kuutabiri Kimaono tumeshaona hilo na wala tusipoteze muda Kulijadili hili.

Mwisho wa Ligi Kuu ya Msimu huu huu ndiyo Msimamo wangu ninaoutabiri....

Bingwa Yanga SC
Mshindi wa Pili Azam
Mshindi wa Tatu Simba SC tunaotoa sababu ya Kitoto kuwa Timu yetu bado INATENGENEZWA wakati ni MBOVU

Nikimaliza huu UZI wangu bila ya Kuwapongeza wana Yanga SC kwa Mafanikio yao ya Kutufunga Simba SC na jana Kuchukua Ubingwa wa Ngao ya Jamii si tu kwamba nitakuwa na ROHO MBAYA bali nadhani pia nitakuwa ni MCHAWI na MWENDAWAZIMU niliyetukuka.

Ukweli ni kwamba Yanga SC wametuzidi WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio Timu bado INATENGENEZWA kwa kila Idara kuanzia katika Uongozi wao, Mikakati yao ya ndani na nje ya Uwanja na kubwa zaidi upande wa Wachezaji. Yanga SC ina WACHEZAJI ila WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio Timu bado INATENGENEZWA ina TAKATAKA tupu.

Na nina Exclusives Kabambe na Kali Tatu hakuna Yoyote aliyezitoa, ila naziacha kwakuwa NIKIWAONYA mnanipuuza.

Imeisha hiyo......!!
Pole lakini mwamba,hesabu misimu minne mfululizo wa kuumia,ili itimie misimu yetu saba ya ubingwa.
 
Kwa UPUMBAVU niliouona nina uhakika Alama zangu zote 6 naziacha kwa Yanga SC ( nikimaanisha Nakandwa ndani nje ) na Alama zangu 4 ( nikimaanisha Azam watanifunga Mechi moja na nyingine nitajitutumua nao kwa Sare ) hivyo GENTAMYCINE niwaombe tu TFF wala wasichelewe kufanya hili kwani wenye Kuujua Mpira na Kuutabiri Kimaono tumeshaona hilo na wala tusipoteze muda Kulijadili hili.

Mwisho wa Ligi Kuu ya Msimu huu huu ndiyo Msimamo wangu ninaoutabiri....

Bingwa Yanga SC
Mshindi wa Pili Azam
Mshindi wa Tatu Simba SC tunaotoa sababu ya Kitoto kuwa Timu yetu bado INATENGENEZWA wakati ni MBOVU

Nikimaliza huu UZI wangu bila ya Kuwapongeza wana Yanga SC kwa Mafanikio yao ya Kutufunga Simba SC na jana Kuchukua Ubingwa wa Ngao ya Jamii si tu kwamba nitakuwa na ROHO MBAYA bali nadhani pia nitakuwa ni MCHAWI na MWENDAWAZIMU niliyetukuka.

Ukweli ni kwamba Yanga SC wametuzidi WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio Timu bado INATENGENEZWA kwa kila Idara kuanzia katika Uongozi wao, Mikakati yao ya ndani na nje ya Uwanja na kubwa zaidi upande wa Wachezaji. Yanga SC ina WACHEZAJI ila WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio Timu bado INATENGENEZWA ina TAKATAKA tupu.

Na nina Exclusives Kabambe na Kali Tatu hakuna Yoyote aliyezitoa, ila naziacha kwakuwa NIKIWAONYA mnanipuuza.

Imeisha hiyo......!!
Ifike wakati uwe specific. yanga wanaroga, wananunua mechi au ni team bora na nyie simba mmezidiwa? Maana kila siku una taarifa mpya hueleweki
 
Mi ni Yanga na nilijua yanga ni Bora ila kwa kiwango Cha Jana niseme tu ubora niliowaza sio huu wa Boka Jana Wala wa Dube na pasi ya Mudathir
Sitaki kusema pasi ya chama maana Ile hata Mimi nafunga na sijawahi cheza
Pacome au ngoja niishie hapa
 
Kwa UPUMBAVU niliouona nina uhakika Alama zangu zote 6 naziacha kwa Yanga SC ( nikimaanisha Nakandwa ndani nje ) na Alama zangu 4 ( nikimaanisha Azam watanifunga Mechi moja na nyingine nitajitutumua nao kwa Sare ) hivyo GENTAMYCINE niwaombe tu TFF wala wasichelewe kufanya hili kwani wenye Kuujua Mpira na Kuutabiri Kimaono tumeshaona hilo na wala tusipoteze muda Kulijadili hili.

Mwisho wa Ligi Kuu ya Msimu huu huu ndiyo Msimamo wangu ninaoutabiri....

Bingwa Yanga SC
Mshindi wa Pili Azam
Mshindi wa Tatu Simba SC tunaotoa sababu ya Kitoto kuwa Timu yetu bado INATENGENEZWA wakati ni MBOVU

Nikimaliza huu UZI wangu bila ya Kuwapongeza wana Yanga SC kwa Mafanikio yao ya Kutufunga Simba SC na jana Kuchukua Ubingwa wa Ngao ya Jamii si tu kwamba nitakuwa na ROHO MBAYA bali nadhani pia nitakuwa ni MCHAWI na MWENDAWAZIMU niliyetukuka.

Ukweli ni kwamba Yanga SC wametuzidi WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio Timu bado INATENGENEZWA kwa kila Idara kuanzia katika Uongozi wao, Mikakati yao ya ndani na nje ya Uwanja na kubwa zaidi upande wa Wachezaji. Yanga SC ina WACHEZAJI ila WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio Timu bado INATENGENEZWA ina TAKATAKA tupu.

Na nina Exclusives Kabambe na Kali Tatu hakuna Yoyote aliyezitoa, ila naziacha kwakuwa NIKIWAONYA mnanipuuza.

Imeisha hiyo......!!
Ungenukuu na kanuni inayowapa hayo mamlaka
 
Back
Top Bottom