Hivi jamani mama anayanyonyesha may be mtoto ana miezi kadhaa, (3months) akapata mimba nyingine afanyaje?yule mtOtO mdogo? Na dalili zipi zitaonyesha kuwa mtoto amedhurika na maziwa ya mama yake
pliz pliz pliz ninahitajika nimjibu mtu nanimekosa jibu sahihi,kama hujui usijibu pumba potezea tu ,au matusi sitaki