Nawaomba wenyekuzielewa sheria za Tanzania

Babylon

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2009
Posts
1,332
Reaction score
83
Katika nchi za Ulimwengu wa kwanza ukimuingilia mwanamke (force yourself into her) bila idhini yake kwa mfano akiwa kalala , kalewa inahesabika ni Raping (umembaka)swali linakuja hapa katika sheria za Tanzania Zinaelezea nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…