M Mohamed Issa Babayao New Member Joined May 19, 2014 Posts 3 Reaction score 0 Jun 16, 2014 #1 Ndg Wana Jf Naomben Kujua Muda Wa Mwisho Wa Kwenda Vyuo Vya Vya Ualimu Ni Lini Na Kwa Utaratibu Up?
P Peter Respice Member Joined Apr 20, 2014 Posts 15 Reaction score 0 Jun 17, 2014 #2 Kwa vyuo vya prvat o gvmnt?
M Mshirazy JF-Expert Member Joined Mar 21, 2013 Posts 421 Reaction score 70 Jun 17, 2014 #3 Mohamed Issa Babayao said: Ndg Wana Jf Naomben Kujua Muda Wa Mwisho Wa Kwenda Vyuo Vya Vya Ualimu Ni Lini Na Kwa Utaratibu Up? Click to expand... Hukusoma tangazo la wizara ya elimu kwenye web yao?? majibu mengine unaweza kujisomea mwenyewe tu kwenye web ya wizara ya elim badala ya kuja humu!! ok mwisho wa maombi ulikua ni may 30!!!
Mohamed Issa Babayao said: Ndg Wana Jf Naomben Kujua Muda Wa Mwisho Wa Kwenda Vyuo Vya Vya Ualimu Ni Lini Na Kwa Utaratibu Up? Click to expand... Hukusoma tangazo la wizara ya elimu kwenye web yao?? majibu mengine unaweza kujisomea mwenyewe tu kwenye web ya wizara ya elim badala ya kuja humu!! ok mwisho wa maombi ulikua ni may 30!!!