Baada ya wababe wao Kagera sugar kushuka daraja, ni vifijo na nderemo tu. Ikumbukwe klabu ya Simba haina rekodi nzuri kwa kagera kwa misimu miwili mfululizo.
Msimu wa 2017/2018 mbele ya mgeni rasmi Kagera walitoboa tundu la Simba. Msimu wa 2018/2019, Kagera sugar walitoboa toboa tundu la Simba nje, ndani.
Lakini licha ya kuwa wababe kwa Simba wameshuka daraja wakiwa na point 44 tu. Walimkazia Boda boda fc pekee na wakasahau timu nyingine.
Ngoja nitafakari, timu ya kuipa mikoba ya Kagera ili tundu liendelee kutobolewa.