Nawaonea huruma waislam waliofariki wakidhan wanapigania dini kwenye biashara za watu.

Nawaonea huruma waislam waliofariki wakidhan wanapigania dini kwenye biashara za watu.

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Masheikh na vijana wa kiislam walioingia kichwa kichwa wakidhan maeneo mbali mbali ni vita ya dini ila ukweli.

Leo ni ajabu neno jihad na friendly linawekwa kwenye sentence moja
IMG_1580.png


Wito wangu kwa vijana wa kiislam,
1. Fanya ibada zako.
2. Tenda haki, usidhulumu wala kudhulumiwa
3. Jiimalishe kiuchumi
4. Endelea kujiendeleza kimaarifa ili uweze kuona mambo katika angle tofauti.

Wajanja wanatumia jazba la vijana wa dini kufikia malengo yao. Utauwawa uiachefamilia iteseke kisha waliokushawishi wanaka meza moja na uliodhani ni “makafiri” wakila mvinyo.

It is a scam everywhere, be wise.
 
Wito wangu kwa vijana wa kiislam,
1. Fanya ibada zako.
2. Tenda haki, usidhulumu wala kudhulumiwa
3. Jiimalishe kiuchumi
4. Endelea kujiendeleza kimaarifa ili uweze
kuona mambo katika angle tofauti.

Umenena vyema mkuu, na mimi naongezea wapendeni hata wale wasio wa imani yenu.
 
kubwa zaidi ni kua, hakuna siku dunia nzima itakua na imani moja, never, so just relax, chill, take your time, enjoy and most importantly do not harm others
 
Wewe unatushauri waislam Kama nani?
Ukiwa na Ufahamu gani juu ya uislam?
Leo kumejaa mada ya uislam kweli sisi tukianzisha juu yenu zinafutwa ...
 
Kila kwenye ugaidi na mapinduzi ya serikali lazima wavaa makubazi wapo!
 
Waache waendelee kutiwa ujinga,israel mtoa roho anawasubiri watangulize kwenye danguro la ala wakalombane,kunywa na kula kitimoto huko mana kawakataza duninani ila akhera ruksa.
 
Wewe unatushauri waislam Kama nani?
Ukiwa na Ufahamu gani juu ya uislam?
Leo kumejaa mada ya uislam kweli sisi tukianzisha juu yenu zinafutwa ...
Uzi wako ulikuwa unasemaje?
 
Masheikh na vijana wa kiislam walioingia kichwa kichwa wakidhan maeneo mbali mbali ni vita ya dini ila ukweli.

Leo ni ajabu neno jihad na friendly linawekwa kwenye sentence mojaView attachment 3174390

Wito wangu kwa vijana wa kiislam,
1. Fanya ibada zako.
2. Tenda haki, usidhulumu wala kudhulumiwa
3. Jiimalishe kiuchumi
4. Endelea kujiendeleza kimaarifa ili uweze kuona mambo katika angle tofauti.

Wajanja wanatumia jazba la vijana wa dini kufikia malengo yao. Utauwawa uiachefamilia iteseke kisha waliokushawishi wanaka meza moja na uliodhani ni “makafiri” wakila mvinyo.

It is a scam everywhere, be wise.

Masheikh na vijana wa kiislam walioingia kichwa kichwa wakidhan maeneo mbali mbali ni vita ya dini ila ukweli.

Leo ni ajabu neno jihad na friendly linawekwa kwenye sentence mojaView attachment 3174390

Wito wangu kwa vijana wa kiislam,
1. Fanya ibada zako.
2. Tenda haki, usidhulumu wala kudhulumiwa
3. Jiimalishe kiuchumi
4. Endelea kujiendeleza kimaarifa ili uweze kuona mambo katika angle tofauti.

Wajanja wanatumia jazba la vijana wa dini kufikia malengo yao. Utauwawa uiachefamilia iteseke kisha waliokushawishi wanaka meza moja na uliodhani ni “makafiri” wakila mvinyo.

It is a scam everywhere, be wise.
Kwaiyo wasipofanya hayo hawatokufa na hawatowaacha yatima watoto zao??mzee kifo kipo tu hata ujidai umaridadi vipi wakukikwepa, Kila mtu atakufa kwa style aliyoandikiwa
 
Waache waendelee kutiwa ujinga,israel mtoa roho anawasubiri watangulize kwenye danguro la ala wakalombane,kunywa na kula kitimoto huko mana kawakataza duninani ila akhera ruksa.
Wakristo kwani nyie mnaishi milele? kuna watu vifo vyao ni kama wamekufa vitani, angalia wale waliofukiwa na jengo kariakoo, wana tofauti gani vifo vyao na waliopolomokewa na jengo vitani!? Miongoni mwao wapo walohisi watakufa kifo cha kiungwana,lakini wapi!! Mungu ndio mbora wa mipango yote
 
Nimemsikia yule Mufti kule Syria walipokuwa wanaelekea Damascus juzi, alikuwa anasema,: "Mkiziona monastery za watu wa Dini nyingine,dini tofauti na yenu,msiwabughudhi,waacheni waendelee na shughuli zao halali."
Halafu Hawa watu wakati mwingine they are funding these terrorists.
But that is a story for another day.
Many of these terrorists organizations have got their headquarters in London.
 
Masheikh na vijana wa kiislam walioingia kichwa kichwa wakidhan maeneo mbali mbali ni vita ya dini ila ukweli.

Leo ni ajabu neno jihad na friendly linawekwa kwenye sentence mojaView attachment 3174390

Wito wangu kwa vijana wa kiislam,
1. Fanya ibada zako.
2. Tenda haki, usidhulumu wala kudhulumiwa
3. Jiimalishe kiuchumi
4. Endelea kujiendeleza kimaarifa ili uweze kuona mambo katika angle tofauti.

Wajanja wana
downloadfile.jpg
tumia jazba la vijana wa dini kufikia malengo yao. Utauwawa uiachefamilia iteseke kisha waliokushawishi wanaka meza moja na uliodhani ni “makafiri” wakila mvinyo.

It is a scam everywhere, be wise.
 
Back
Top Bottom