Bomba La Mvua
Member
- Feb 27, 2015
- 95
- 44
Kwani imechukua mara ngapi kombe la uefa?Liverpool wamefika tu final,
Kwan hamkumbuki ya madrid,
Liverpoool hawana bahati final, toka klop yupo dortmund kapoteza final kama nne mfululizo kule, zote anapigwa tuu
Wenzako wametoa kundule kwa Liverpool kutokana na mchezo wao heavy na maridadi mbele ya wababe Barcelona.Mimi ni shabiki wa Man united 🙂
Sitaki liverpool wachukue kombe la premier league wasije wakafikia record yetu ya kuwa na premier league titles nyingi, na imebaki mechi moja tu sioni kama wanaweza kuchukua,
lakini kwa walichokifanya jana kuitoa Barcelona kwenye champions League naamini wanastahili kuchukua hilo kombe.
kongole kwao wameiwakilisha ligi vizuri ligi yetu pendwa ya EPL,,,,,ingekua aibu kwa epl kuingiza timu nne robo fainali halafu wakose hata timu ya kuingia fainali,
Nawasilisha
Barca ni wabovu sema sisi ndo tulikua wabovu zaidi 😀 😀Hongera kwao, jana tulikua boat moja sijui man u tulikosea wapi kwa ile Barca
Halafu nyie liverkuku mkisifiwa kidogo mnaanza jeuri eeeh ndo mana huku epl tumewaundia kamati ya Roho mbaya mwaka wa 30 huu no eplWenzako wametoa kundule kwa Liverpool kutokana na mchezo wao heavy na maridadi mbele ya wababe Barcelona.
"It could be a match of the year"
Tusipotoshane, Liverpool wapewe kundule(sio kongole)kuwatoa vidume wa mpira duniani.Hahahahaha!!!
Safari hii Klopp atafuta huo mkosi wa kupoteza Mara kwa Mara FinalLiverpool wamefika tu final,
Kwan hamkumbuki ya madrid,
Liverpoool hawana bahati final, toka klop yupo dortmund kapoteza final kama nne mfululizo kule, zote anapigwa tuu