savannahgal
Member
- Jun 27, 2018
- 6
- 7
Karibu bibiye,Hamjambo,
Mie mgeni kwa hili Jukwaa lenu JF.
Nilifurahia your stay upande wetu wa KT na vile nimepata habari kwamba JF imerejea nikaamua kujiunga nanyi kwa muda ili nipate kujua mengi kuhusu nchi jirani.
Basi naomba msinifurushe mbio.
Karibu mkuu kunguru ya kenyatta ila huku waweza tumia app....Hamjambo,
Mie mgeni kwa hili Jukwaa lenu JF.
Nilifurahia your stay upande wetu wa KT na vile nimepata habari kwamba JF imerejea nikaamua kujiunga nanyi kwa muda ili nipate kujua mengi kuhusu nchi jirani.
Basi naomba msinifurushe mbio.
Hahahahah....yaaani,kila mahali nitalipata hili jina Kunguru?Karibu mkuu kunguru ya kenyatta ila huku waweza tumia app....
hahaha...huku hakuna jina la kunguru...mie nimelitoa KT...Anyway u are warmly welcome...Hahahahah....yaaani,kila mahali nitalipata hili jina Kunguru?
Thanks for the info. I will download the app.
Jione! Kinywanyuku wewe! πππ Karibu sana mkenya mwenzangu savannahgal. Baadaye uje PM ntakupa mafunzo ya ziada, ya bure, kuhusu jinsi ya kusurvive huku Jf.karibu jirani kumbuka huku hatutaki matusi kama KT mnatukanana meffi huku kwetu heshima ni jambo muhim