Nawapenda Hawa Wadada/Wanawake MMU-Members 20 Bora.

Michael Scofield

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2011
Posts
1,225
Reaction score
473
Ni mtazamo tu! kama haikuhusu ipotezee au "PITA" Haina kubeza, Waacheni wajione michael anawaangalia kwa mtazamo gani.

AshaDii: Aunt heshima yako! Naomba urudishe shungi vidume vishaanza kutokwa udenda!
Afrodenz: Designer! nakukubali mrembo Jicho kama umekula kungu manga lainiiiiiiii.
Amyner: Mrembo uko poa kama ulivyo. September baby!!!

Black Womani: Black beautifuly
Cantalisia: Binti Mtambuzi uko poaa! Dogo katangaza nia kaishia mitini, Baba mkwe mkali
Da Pretty: Uko poa dada, Ila mtu kama yuko kwa nyuma yako basi anafaidi.
Firstlady: Jicho na mdomo aaaaah Mashaalah.

Kabakabana: Uko bombaa! mpaka unatishia usalama wa Mwali
King'asti:
Uko poa mtu wangu sema leo umerusha stimu! jibu hapa
Kipipi: Nambie mtoto wa kisukuma tupe kwa mbele sura tuione vizuri.

Kisukari Kama jina lako lilivyo, na huo mkono kama warusha kiss kwa mtu
Lizzy: Jimama la Unga LTD vipi kwemaa!?
Mwali: Hivyohivyo mama naona mtakatifu kaamua kukufunua shungi. Uko bomba! akugusi mtu.

Mamndenyi: Huyo bibi hapo anatuziba hatukuoni vizuri.
Mrembo by Nature: Hi
MwanajamiiOne: Jicho lako dada wee!

Preta: Aaa una macho laini mazuuriiiiii
Russian Roulette: Mmh Usinipige Ban mkuu, Hicho kifua kinamtoa udenda babu Asprini, Uko bomba mbaya.
Smile: Oooh! Pole mrembo endelea kumuuguza mama yetu.

Twande: Na wewe mtata mdadisi mpaka basi kwa baba mkwe Mtambuzi.

Jamani kama nimemkwaza mtu anisamehe, kwangu ni amani nawapenda wote members wenzangu!
 
Hivi mamaa Lizzy ni jimama la unga Ltd? Aisee mbona unanichanganya ngoja Mchungaji aje
 
Dah...haiko fair....ni bora ungesema wasichana/wanawake unawazimika MMU...otherwise umetripple standard!! broda!!!!

Napita tu broda!!...
 

[TABLE="class: style, align: center"]
[TR]
[TD]

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Asante sana kwa kuchukua muda wako kutoa sifa zetu
pamoja na hayo nimeona unasifia sana macho ,
haya bana kila mtu anakitu chake anachokipenda..
to my opinion macho yanasema mengi ijapokuwa ni
avatar tu .. duhhhh somehow nahisi ni valentine tena leo .. Siku njema nakutakia dear .. Cheeres.


 
Yaani hapa unazidi kuniacha hoi! mpaka mapigo ya moyo yanaongezeka kasi!
Aaaa kama mwanakondoo vile kichwa chini.
Asante dada!
 
Ni mtazamo tu! kama haikuhusu ipotezee au "PITA" Haina kubeza, Waacheni wajione michael anawaangalia kwa mtazamo gani.

Kipipi: Nambie mtoto wa kisukuma tupe kwa mbele sura tuione vizuri.

Dah.....mtoto wa kisukuma nina la kusema basi?? Mie nipo tu!! Alafu iyo sura mbona nilishageuka na watu wakaiona mpendwa?? BTW; Thanks for the appreciation dear .......I like you too!
 
Kumbe ni wa dada peke yao? Lakini kaka muechagua poa...
Mi ningeongeza
King'asti kwa intelligence na sense of humor,
Husninyo na Sweetlady kwa kubamba kwa idea kuliko kutumia avatar kama wanavo fanya wengi humi,
lucky_c_pesa kwa maujizi na mauwazi and last but certainly not least,
fave of all times Michelle kwa kila kitu!!!
 
Hehehe! Una uhakika sikujaribu? Message ilikuwa inarudi 'connection failed, no compatible device', nikakata tamaa nikajiconnect manually.
Kwa kuwa wewe ndio wa kwanza, Kujua masahibu yangu, Ungeniweka japo kwa Bluetooth isingekuwa mbaya.
 
1 hiyo intelligence ya kuvizia nikichochea na msuba ndo kichwa inakuwa mwake (don't try that at home)
2 husn na sl hawana lolote, idea wanaiba kwangu kwanza!
3 kumbe laki si mahela ni mdada? Kazi mnayo ya kusaka millioni kufanya ugomvi!
 
Hehehe! Una uhakika sikujaribu? Message ilikuwa inarudi 'connection failed, no compatible device', nikakata tamaa nikajiconnect manually.
We mtundu! baba mkwe Mtambuzi hana mabinti hapa! na wale wengine "Kauzu zaidi ya dagaa sijui ndio wamelala au washamtoroka dingi"?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…