Nawapenda Hawa Wadada/Wanawake MMU-Members 20 Bora.

Ooh, now I remember,lol!
Well, I can borrow that magnum sometimes when I go out on a date but this one is superb when I MasturDate, loosers keep away from me,lol (and stop laughing!)
Kabla ya hii I had a cartoon. Mwanamke ameshika a beautiful .357 magnum but then nilipotambulika officially kama Mod nikabadili nisije nikaonekana kama Eliza-wa-tegeta. lol
 

tx broda!
100,000 SI PESA...JARIBU MILIONI!.....
 
Reactions: Taz

ASHADII BINT HESHIMA, MUCH RESPECT KWAKO MDADA! Nakupenda sana kwa busara zako!
 
Una ugonjwa, Kama siyo udhaifu, wa kuzimikia wanawake, halafu unaichomekamo MMU Kama kisingizio tu. Nani alkwambia Mmu ni ya wanawake pekee?
 
Asprin (siyo Asplin) mimi ni kidume na Kongosho ni demu wangu.
 
Achana nae. Najiandaa kukuanzishia thread ya kukuzimia soon, usije ukaniangusha basi manake mikaeli atafurahi kweli. Una bluetooth?
Una ugonjwa, Kama siyo udhaifu, wa kuzimikia wanawake, halafu unaichomekamo MMU Kama kisingizio tu. Nani alkwambia Mmu ni ya wanawake pekee?
 
Hivi baba matesha, ile I'd ya mama matesha ulifanikiwa kuifahamu? Angalia usije ukaacha tikitimaji manake embe ni la msimu...
Asprin (siyo Asplin) mimi ni kidume na Kongosho ni demu wangu.
 
Kumbe mie mkali kwa wanangu, ngoja nipunguze kidogo maana huyu mwanangu Cantalisia ataniletea noumer kwa mama Ngina..........
Si mnajua mabinti wa siku hizi ni Bumper to Bumper
Like HOW?
 
Hivi baba matesha, ile I'd ya mama matesha ulifanikiwa kuifahamu? Angalia usije ukaacha tikitimaji manake embe ni la msimu...
Kwa Kongosho amenipa go ahead. Ila kampa mwaka mmoja tu awe ashanizalia mapacha. Waona ntakavokuwa 'bize' kwa miezi hii mitatu?
 
Er? Lucky me. Vipi waweza jitolea kuwa matron wake siku ntapomvalisha shela. Kusimamiwa na mod ni heshima kama ya Pinda kwa madaktari.
Why not? nitakuja na nitavaa gawn ya satin na kofia kubwa yenye nyavu kwa mbele... akitoka jaso nafuta tu...
Harusi lini tujiandae for the ultimate chit chat party?
 
Asprin (siyo Asplin) mimi ni kidume na Kongosho ni demu wangu.
Mleta sledi kataja walembo tu, nashangaa na jina asplin limetajwa...au asplin ni mlembo mpya hapa JF? Babu asprin acha kupaniki.....labda siyo wewe!
 
Yaani umekuwa goigoi mpaka INNOVATOR kakusaidi kuedit title...dah, haya bana!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…