Nawapenda sana atoto, valentina, Evelyn Salt na Miss Chaga

Nawapenda sana atoto, valentina, Evelyn Salt na Miss Chaga

jacobian

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2014
Posts
415
Reaction score
158
Msema kweli mpenz wa Mungu....
Kusema kweli hawa wadada nawapenda balaa...hata miandiko yao naipenda..yaani nikiona comment ya hao viumbe huwa nakuwa na hisia kalii...jf tunatambulika kwa nick name sawa, but nataman hawa watu niwaone hata mara moja...maana hisia zangu nahisi warembo balaa, any one amewahi kuwaona anitoe mawazoni, pengine sio attractive aniambie, nisiumie bureeee
 
Najua wawili kati ya hao lakini picha zao kukupa sio rahisi kukupa labda kwa ridhaa yao.
 
Mkuu naomba basi please ! Ni warembo ?
 
Mmoja wapo hapo nlishaonyeshwa picha. Yuko powa na upo sawa mkuu to go crazy over em.
 
Msema kweli mpenz wa Mungu....
Kusema kweli hawa wadada nawapenda balaa...hata miandiko yao naipenda..yaani nikiona comment ya hao viumbe huwa nakuwa na hisia kalii...jf tunatambulika kwa nick name sawa, but nataman hawa watu niwaone hata mara moja...maana hisia zangu nahisi warembo balaa, any one amewahi kuwaona anitoe mawazoni, pengine sio attractive aniambie, nisiumie bureeee
Hivi Mkuu, kweli unaweza kuwa na imani 100% ya jinsia mtu unaye chati naye hususan humu JF !!! Unaweza kuta hao unaowasema pamoja na wewe wote mko jinsia moja !!!
 
Msema kweli mpenz wa Mungu....
Kusema kweli hawa wadada nawapenda balaa...hata miandiko yao naipenda..yaani nikiona comment ya hao viumbe huwa nakuwa na hisia kalii...jf tunatambulika kwa nick name sawa, but nataman hawa watu niwaone hata mara moja...maana hisia zangu nahisi warembo balaa, any one amewahi kuwaona anitoe mawazoni, pengine sio attractive aniambie, nisiumie bureeee
Kaka we naona unataka makuu shauri yako. Ujiandae kwanza mfukoni
 
Back
Top Bottom