Nawapenda sana malaya


Sasa hili ni tangazo? Unaturingia? Unatunanga ama?
 
Sisi madomo zege tunafurahia sana uwepo wa hawa marayaaaaa...marayaaa ni watamuuu kuriko maerezooo
 
bwa' mdogo jifunze kuandika kwenye sarufi za lugha ya kiswahili hatuna konsonanti x kama kiwakilishi cha herufi 's' rudi shule kwanza ndio uje tafadhali. Maandishi kama haya hunitia kichefuchefu kusoma.
 
bwa' mdogo jifunze kuandika kwenye sarufi za lugha ya kiswahili hatuna konsonanti x kama kiwakilishi cha herufi 's' rudi shule kwanza ndio uje tafadhali. Maandishi kama haya hunitia kichefuchefu kusoma.

axante mkubwa bahat mbaya mi std seven,
 
Wow pole jitahidi uache, si ndio maana wapo kwa ajili yenu sasa usije kuoa na kumtaka mkeo afanye yote wanayokupia raha au unayowaambia wakufanyie kuishia kumpelekesha kama mbwa wako.

Ni bora ukae kwanza muda mrefu bila kuwado sukuma akili kwa girlfriend uone kama utaweza kutowafata tena hao wengine uliozoea.
 

axante kiongozi we umenena, tatizo naxafiri xana inaweza pita miez mi 3 cjatua hme huyu girlfriend atakuwa xalama kwel?
 
axante kiongozi we umenena, tatizo naxafiri xana inaweza pita miez mi 3 cjatua hme huyu girlfriend atakuwa xalama kwel?

Lol kwa hiyo hautamwamini hapo sasa ni issue ingine. Vyema ujaribu kujuavni muhimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…