Nawapenda sana ndugu zangu: Umoja na upendo wetu ni wa pekee

Mbu mwenzangu mie binti wa kitanga najimwaya kwa mirindimo iliyopo........ wa sasa hasa leo ni uchaguzi so naamua mwenyewe kigudi nikizungusheje mradi tu nisitoke njee ya biti kuu.

Ohoo kumbe upo nilifikiri uko busy unahesabu kura kama mimi
 
we acha tu... nawaombea akina preta, lily, PJ na wengine amani na utulivu

election violence hazina mwenyewe

asante sana kwa sala zako...tumepona na tuko katika hali nzuri japo amani ilitaka kutoweka na ikatulazimu tuwahi nyumbani kinyume na ratiba, lakini tunamshukuru Muumba kwa kuyapita mapito hayo.....ubarikiwe sana
 
asante sana kwa sala zako...tumepona na tuko katika hali nzuri japo amani ilitaka kutoweka na ikatulazimu tuwahi nyumbani kinyume na ratiba, lakini tunamshukuru Muumba kwa kuyapita mapito hayo.....ubarikiwe sana
Thanks P'

sasa tunahamishia sala zetu ubungo ili akina Fide nao wale matunda ya nchi kwa kujinafasi
 

wera werrrrrrraaaaaaaaaaaa.......hakuna kuto bila......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…