Nawapenda watoto kuliko mume

mkuu,
SWALAMA?

hivi world cup nyingine tena lini?
 
Tafuta washauri wa masuala ya ndoa au wanasaikolojia watakusaidia. Zaidi ya hapo, mpe nafasi. I mean, akichelewa kurudi nyumbani au asiporudi kabisa usimsumbue, usichunguze simu yake, mwache akapewe yale ambayo kwako hayapati na ni haki yake. Ni ushauri tu.
 
pole sana mdada....nadhani umeathirika na kitendo kilichotokea kwa mumeo, naomba nikuulize kama kabla hujamfumania pia ilikuwa hivi?
 
Nadhani umekwenda nje ya mada. Nilichouliza si kutaka kujua anahudumiwa wapi ninapokuwa busy.

Mbona nyumba ndogo zipo tele kwa ajili ya kuhudumia nyumba kubwa zinapo kuwa busy kama hivi
 


mbona umetoka nje ya ulingo kaka Mdoe? Lewisky hajafikai huko.
 
Asanteni sana kwa ushauri, nauchuja na kuufanyia kazi.
 
Nadhani umekwenda nje ya mada. Nilichouliza si kutaka kujua anahudumiwa wapi ninapokuwa busy.

The point is , kama halalamiki ni kwamba ana-extra marital affair a.k.a mke wa pembeni
 

Kwa nini usimueleze mkawa busy wote wawili kuwahudumia hao watoto? Mbona ni kazi ya wote wawili na pia mtakuwa mnamaliza kazi haraka. Au yeye hana mapenzi na hao watoto? Kama baba wa ki-leo anayeelewa majukumu yake, anapaswa kufanya yote ambayo unayafanya kwani hata watoto watajenga maadili ya kusaidiana.

Sijui mume wako ana umri gani au amelelewa kwa malezi yepi bali anapaswa kutambua kuwa mida hii siyo ya zamani ambayo mke anafanya kila kitu wakati mume amekaa au anakunywa kahawa. Malezi ya pamoja yatajenga pia upendo katika ndoa yenu. Mtakuwa mnazungumza lugha moja wakati wote.
 
duuu, ndoa yako ina miaka mingapi?? nina mfanyakazi mwenzangu ofisini ana ndoa ya miaka kumi na moja mke wake ni mzuri sana mchapa kazi ana adabu na huyo mfanyakazi mwenzangu anasema anampenda sana mkewe.Lakini ana nyumba dogo ambayo watu wote ofisin tunaijua kasoro mkewe. sasa huwa tunamuuliza hivi mkeo ana kasoro gani ya wewe kumcheat hivyo?? majibu yake ndio kama hiyo hadithi yako!mke yuko busy na watoto hana muda na mume so anakuwa lonely though ameoa!!!!!
ushauri: tafuta house gal uwezi kufanya vyote wewe uende job, watoto, usafi nyumba na mume unajidanganya !!
pili kilichowafanya muoane ni nini? lazima kuna common interest kati yenu tafuta hiyo anza nayo ili kumfanya awe karibu na wewe...
pia ongea na mumeo mwambie kwa ajili ya watoto ni vyema na yeye akawa anapata nao muda so kuwe na dady's day out na watoto na mum's days
vinginevyo blv me kuna mrembo anakusaidia mumeo kwa raha zake! ingawaje unaweza fanya yote hayo na bado akatoka nje ya ndoa but prevention is much better!!!
 
Muombe MUNGU akupe hekima na busara za kuweza kubalance upendo kati yako na mumeo na kati yako na watoto ili ndoa yako idumu na iwe na furaha, upendo na amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…