netti mimi
Senior Member
- Oct 10, 2016
- 147
- 109
Mimi ni mgeni, nimejiunga leo. Nilikuwa naomba support yenu. Nawapenda woote humu ndani.
Naomba kujuzwa sheria kama zipo. Mimi ni jinsia ya KE.
Naomba kujuzwa sheria kama zipo. Mimi ni jinsia ya KE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok!! Karibu sana ila ushauru wangu ujirekebishe kuandika kwani kuna tarakimu umechapia sana!!kingine kwa wee picha huna??Mimgen nimejiunga Leo nilikuwa naomb sapport yen nawapnda woot umu ndan ...nashria kama zipo Mimi n jinsia ya kee
KaribMmh sawa sawa kweny weng apakosi kasoroo
Kuna mwalimu wa mwandiko humu aitwa Asprin waweza kumuona, ukiwa na daftari la mistari mikubwa na midogo.... Karibu sanaMimgen nimejiunga Leo nilikuwa naomb sapport yen nawapnda woot umu ndan ...nashria kama zipo Mimi n jinsia ya kee
Mie napita tu yakhee!Karibu sana mrembo, nakupenda pia.
Hahahahaha......hivi vigisu vigisu ndio vitakavyonikosesha huyu mrembo.Mie napita tu yakhee!
Yani mtoto mpyaaaaa unamtoa mwenyewe kwenye makaratasi.....Hahahahaha......hivi vigisu vigisu ndio vitakavyonikosesha huyu mrembo.
Kitu kipyaaaaaa.......lkn naona kameingia mtini nahisi amejua mimi fataki baada ya kumkaribisha kwa mbwembwe zote.Yani mtoto mpyaaaaa unamtoa mwenyewe kwenye makaratasi.....
SHERIA ZA JAMIIFORUMS.Mimi ni mgeni, nimejiunga leo. Nilikuwa naomba support yenu. Nawapenda woote humu ndani.
Naomba kujuzwa sheria kama zipo. Mimi ni jinsia ya KE.