Nawapenda woote

Karibu. Next time punguza papara wakati wa kuandika, unawapa shida ya kusoma wazee wako.
 
Mmh sawa sawa kweny weng apakosi kasoroo
 
Karibu sana.
Kwa kuwa wewe ni jinsia "ke" tarajia support kubwa kutoka jinsia "me"....
 
Yani mtoto mpyaaaaa unamtoa mwenyewe kwenye makaratasi.....
Kitu kipyaaaaaa.......lkn naona kameingia mtini nahisi amejua mimi fataki baada ya kumkaribisha kwa mbwembwe zote.
 
Mimi ni mgeni, nimejiunga leo. Nilikuwa naomba support yenu. Nawapenda woote humu ndani.
Naomba kujuzwa sheria kama zipo. Mimi ni jinsia ya KE.
SHERIA ZA JAMIIFORUMS.
  1. Mfuate The Book Private Message ili akuelekeze,kila kitu utapata huko.
  2. Mfollow The Book ili awe anakusaidia mambo mbalimbali
  3. Kila ukiona The Book amepost lazima uweke LIKE.
  4. Zingatia sheria hapo juu.

Sent from Bombadier Q400 using JamiiForums aeroplane app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…