hebu nitumie picha zako PMMimi ni mgeni, nimejiunga leo. Nilikuwa naomba support yenu. Nawapenda woote humu ndani.
Naomba kujuzwa sheria kama zipo. Mimi ni jinsia ya KE.
Asante sanaHEBU NJOO PM KWANZA HAPA WACHAWI WENGI
Mnakul ninikarbuuu saana.sas ivi ni muda wa lunch jf,
Ntumie kwanz ww namimi ntatumahebu nitumie picha zako PM
Asante sanaKaribu sana.
Kwa kuwa wewe ni jinsia "ke" tarajia support kubwa kutoka jinsia "me"....
Kunanini tenaaaHahahahaha......hivi vigisu vigisu ndio vitakavyonikosesha huyu mrembo.
Asante sanaaaaa nshakarbiaKaribu mgeni... Na mimi mgeni ila jinsia ya ME... [emoji16][emoji16][emoji16]
BA's usijali the book
AsanteOk!! Karibu sana ila ushauru wangu ujirekebishe kuandika kwani kuna tarakimu umechapia sana!!kingine kwa wee picha huna??
SawasawaKaribu. Next time punguza papara wakati wa kuandika, unawapa shida ya kusoma wazee wako.
AsanteKarib
Hata mimi huwa nakosea kuandika sometimes , usjali.
Salaam zao MwanzaMimi ni mgeni, nimejiunga leo. Nilikuwa naomba support yenu. Nawapenda woote humu ndani.
Naomba kujuzwa sheria kama zipo. Mimi ni jinsia ya KE.
AsanteKaribu mgeni
Sawa mgesaSupport ya nini ndugu?
Ukitoa mada utasapotiwa tu so usihofu.
MmhKaribu sana.
Kwa kuwa wewe ni jinsia "ke" tarajia support kubwa kutoka jinsia "me"....
KunaniniSalaam zao Mwanza
Si ndio ulipoKunanini
Karibu sana, ukishatuliza mawazo tafadhali nione, mimi ni Me.Mimi ni mgeni, nimejiunga leo. Nilikuwa naomba support yenu. Nawapenda woote humu ndani.
Naomba kujuzwa sheria kama zipo. Mimi ni jinsia ya KE.