NgerukeAbra
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 1,336
- 2,008
Baraza la Mitihani la Taifa(NECTA) limefanya mabadiliko kwenye mitihani ya kuhitimu elimu ya msingi kwa kuondoa machaguo ya majibu kwenye somo la hisabati kuanzia mitihani ya mwaka huu.
Pia wanatarajia kufanya mabadiliko kama haya kwa ngazi ya sekondari kwenye masomo ya Fizikia, Kiingereza na Baiolojia.
Dah hii ishu ya multiple choices kwenye hisabati ilikuwa inaniboa sana!
Pia wanatarajia kufanya mabadiliko kama haya kwa ngazi ya sekondari kwenye masomo ya Fizikia, Kiingereza na Baiolojia.
Dah hii ishu ya multiple choices kwenye hisabati ilikuwa inaniboa sana!