Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Nadhani kuna siri kati ya wawili hawa... Diamond na Harmonize... Lakini hata kama ni siri lakini wameonesha ukomavu mkubwa kwenye mahojiano yao na media za bongo
Media za kimbeambea na chonganishi sasa inabidi zijipange kweli linapokuja suala la kiwahoji hawa vijana wawili.... Ona majibu ya Diamond
Diamond pia alizungumzia kuhusu Harmonize ambaye ametangaza kujiondoa kampuni ya WCB, “Nimempush Harmonize kufika hapo alipo, nafikiri sasa ni wakati sahihi wengine kuwasapoti, tamanio letu ni kuona tunafanikiwa, naomba watu wamsapoti lengo letu ni kusapoti vijana.”
Jana katika mahojiano hayo Diamond amesema, “nilibahatika kuona post kama watu wengine, na sikujua alilenga kitu gani, lakini Alikiba ni kaka yangu amenizidi umri alianza muziki kabla yangu.”
“Kwenye muziki kuna mambo ya ukitoa wimbo ni kama Simba na Yanga (timu za soka zenye upinzani nchini Tanzania) lakini haiwezi kutia chuki kati yangu na yeye,” amesema Diamond.
Hivi karibuni Harmonize pia alijohiwa na clouds.. Na ni wazi alichomekewa maswali mengi ya wazi na ya mtego ili amkandie Diamond.... Lakini kamwe hakufanya hivyo... Mwishowe aibu ikarudi kwa waandishi...
Hawa waandishi wetu ni lazima watambue kuwa zama zimebadilika. Hizi si zama za akina Hadija Kopa na Nasma Khamisi au Zay B na Sister P. Bifu mpaka mitaani na matusi ya nguoni juu.
Bado kuna shida kidogo kwa Alikiba lakini yeye kwasasa sio habaro tena. Media za bongo sana ni Mondi na Konde boy. Nao wamejua na kujitambua nini kilichopo mbele yao. Wote wanaojaribu kuwachonganisha ni kapuku wasio na mbele wala nyuma.
Ni funzo zuri toka kwa watoto
Media za kimbeambea na chonganishi sasa inabidi zijipange kweli linapokuja suala la kiwahoji hawa vijana wawili.... Ona majibu ya Diamond
Diamond pia alizungumzia kuhusu Harmonize ambaye ametangaza kujiondoa kampuni ya WCB, “Nimempush Harmonize kufika hapo alipo, nafikiri sasa ni wakati sahihi wengine kuwasapoti, tamanio letu ni kuona tunafanikiwa, naomba watu wamsapoti lengo letu ni kusapoti vijana.”
Jana katika mahojiano hayo Diamond amesema, “nilibahatika kuona post kama watu wengine, na sikujua alilenga kitu gani, lakini Alikiba ni kaka yangu amenizidi umri alianza muziki kabla yangu.”
“Kwenye muziki kuna mambo ya ukitoa wimbo ni kama Simba na Yanga (timu za soka zenye upinzani nchini Tanzania) lakini haiwezi kutia chuki kati yangu na yeye,” amesema Diamond.
Hivi karibuni Harmonize pia alijohiwa na clouds.. Na ni wazi alichomekewa maswali mengi ya wazi na ya mtego ili amkandie Diamond.... Lakini kamwe hakufanya hivyo... Mwishowe aibu ikarudi kwa waandishi...
Hawa waandishi wetu ni lazima watambue kuwa zama zimebadilika. Hizi si zama za akina Hadija Kopa na Nasma Khamisi au Zay B na Sister P. Bifu mpaka mitaani na matusi ya nguoni juu.
Bado kuna shida kidogo kwa Alikiba lakini yeye kwasasa sio habaro tena. Media za bongo sana ni Mondi na Konde boy. Nao wamejua na kujitambua nini kilichopo mbele yao. Wote wanaojaribu kuwachonganisha ni kapuku wasio na mbele wala nyuma.
Ni funzo zuri toka kwa watoto