Nawapongeza Sport Arena ya Wasafi FM kwenye hili

Nawapongeza Sport Arena ya Wasafi FM kwenye hili

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Nimependa Sana huu ubunifu wa Sport Arena walikuja nalo la kuwa na mtu mwenye takwimu kwenye kipindi.Mtu huyo anahusika na kuchukua takwimu za mchezo pamoja na mchezaji mmoja mmoja kwa kuangalia pass alizopiga, interception alizofanya, loss pass na maeneo mengine.

Hili litasaidia kukuza soka letu na pia litasaidia kuongeza performance ya wachezaji na pia mashabiki kujua viwango vya wachezaji wao na team yao kiujumla kwa kina kwa mechi husika.
 
Back
Top Bottom