Si kwamba nimebahatika lahasha ila vigezo vilivyo tumika vinajieleza kuwa Haki imeonekana kutendeka na muendelee na vigezo ivyo katika ajira zijazo
Kazi iendelee....
Kazi iendelee....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua amefurahi sanaHealth secretary 1997/2008
Hatari sana
Sipati picha huyo wa 1997 jinsi alivyolipuka kwa nderemo na vifijo😆😆
Kweli kabisaHakika, wanejitahidi sana.
Ndio maana unaona hata lawama zimekuwa kidogo sana.
Maana ukisoma Index No. tu za kidato cha nne na mwaka chuo unagundua tu wewe una haki ya kusubiri.
Mtamba ndo niniKama alikua na mtamba wake leo mtamba umechinjwa 😂😂
Ng'ombe wale ambao wapo tayar kubeba mimba wakipandishwa kama nimekosea watanirekebisha ..Mtamba ndo nini
Mbuyu ulianza kama mchichaaisee hii nchi ni kubwa nimejaribu kuangalia idadi ya walimu na mahitaji ni tofauti
Mhhm!!!,Yupo humu??.Health secretary 1997/2008
Hatari sana
Sipati picha huyo wa 1997 jinsi alivyolipuka kwa nderemo na vifijo[emoji38][emoji38]
Wapi hapoYaan unaibiwa kitaalamu mpaka unamsifia aliekuibia kuwa amekuibia kitaalamu
Hii ndio taaluma ati
👍👍Pongezi kubwa kwa waliopata ajira pia tunaipongeza serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mh. Raisi Samia Suruhu Hasani kwa kutoa ajira kwa vijana baada ya kusota mitaani kwa muda mrefu watika tukitsmbua wazi shule na vituo vya afya kuna upungufu mkubwa wa watumishi,kikubwa kwa wenzetu waliobahatika kupata ajira wakachape kazi kweli kweli na watangulize utu mbele na kuwa na hofu ya mungu hasa hao walio katika kada ya afya.