Nawasalimia wasichana

Nawasalimia wasichana

Aigoo

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2015
Posts
3,124
Reaction score
2,819
_*Nawasalimia [emoji68]WASICHANA [emoji70]wale mnao GOOGLE chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*_

_*Nawasalimia WASICHANA weupe [emoji70]mitandaoni ila mkiwa kwenu WEUSI,*_

_*Nawasalimia WASICHANA Ninao watumia TEXT wanazijibu kwa NYODO mfano[emoji106][emoji108] P,K,O,S!! Nakaribia KUOA,*_

_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanao kuomba URAFIKI FB halafu ukianzisha Chating wanakuuliza wew NANI[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi ni Nyani kutoka Mikumi,*_

_*Nawasalimia WASICHANA ambao ukiwatongoza wakakupa majibu ya SHIT ila ukipost picha ya demu wanaweka foleni inbox Kukuuliza huyo nani,*_

_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanaopst picha ukiccoment Anareply ukimfata inbox Anauchuna ila ukitaja helaa Anakujibu kama UMEME WA LUKU Hamjambo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA nilio watongoza mkanikubalia na mkaniomba HELA hapo hapo [emoji23][emoji23] Tumeachana[emoji23]Niwaambie SICHUNIKI,*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA wazuri mpaka naogopa kuwafata INBOX nabakia kula kwa macho NAWAPENDA JAMANI[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA Tunao chuniana MITANDAONI ila Tukikutana MTAANI Mnaniita ita kama mnanijua[emoji23][emoji23][emoji23] PLEASE NIPENI BREAK,*_

_*Nawasalimia WASICHANA Ambao ni wacha MUNGU mitandaoni ila nje Ni wauza PAPA, Salamu Ziwafikie[emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaosema hakuna TRUE LOVE mitandaoni hali ya kuwa Mkiombwa No za Simu Mnatoa, KARIBUNI CHAI[emoji3][emoji3][emoji3]*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA nilio watongoza MTANDAONI nampaka sasa tunaitana Honey Ila HATUJUANI [emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA woteee mliokimbia SHULE ila MTANDAONI wameandika wamesomea UDSM, IFM, CBE, SAUT NA UDOM nawakumbusha NAWAKUMBUSHA, MUNGU ANAWAONA*_ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

_*Nawasalimia wale WASICHANA ukichart nao wanakujibu kwa KINGEREZA ila ukimtukana Anakujibu kwa KISWAHILI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muoneni Ras Simba*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA wanao post PICHA NZURI ila hawataki kutongozwa UMEPOST YA NINI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaojiita CUTE, PRINCESS PREATY, CANDY kumbe mtaani unaitwa Bupe, Sikujua, Havinitishi[emoji23][emoji23][emoji23] WAZAZI WENU WANAWATAFUTA,*_

_*Nawasalimu WASICHANA mnao TONGOZWA mtandaoni kisha mnasema Mtumiwe NAULI, Badilisheni Mbinu VYUMA VIMEKAZA!!*_

Sent using Jamii Forums mobile app
 
_*Nawasalimia [emoji68]WASICHANA [emoji70]wale mnao GOOGLE chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*_

_*Nawasalimia WASICHANA weupe [emoji70]mitandaoni ila mkiwa kwenu WEUSI,*_

_*Nawasalimia WASICHANA Ninao watumia TEXT wanazijibu kwa NYODO mfano[emoji106][emoji108] P,K,O,S!! Nakaribia KUOA,*_

_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanao kuomba URAFIKI FB halafu ukianzisha Chating wanakuuliza wew NANI[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi ni Nyani kutoka Mikumi,*_

_*Nawasalimia WASICHANA ambao ukiwatongoza wakakupa majibu ya SHIT ila ukipost picha ya demu wanaweka foleni inbox Kukuuliza huyo nani,*_

_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanaopst picha ukiccoment Anareply ukimfata inbox Anauchuna ila ukitaja helaa Anakujibu kama UMEME WA LUKU Hamjambo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA nilio watongoza mkanikubalia na mkaniomba HELA hapo hapo [emoji23][emoji23] Tumeachana[emoji23]Niwaambie SICHUNIKI,*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA wazuri mpaka naogopa kuwafata INBOX nabakia kula kwa macho NAWAPENDA JAMANI[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA Tunao chuniana MITANDAONI ila Tukikutana MTAANI Mnaniita ita kama mnanijua[emoji23][emoji23][emoji23] PLEASE NIPENI BREAK,*_

_*Nawasalimia WASICHANA Ambao ni wacha MUNGU mitandaoni ila nje Ni wauza PAPA, Salamu Ziwafikie[emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaosema hakuna TRUE LOVE mitandaoni hali ya kuwa Mkiombwa No za Simu Mnatoa, KARIBUNI CHAI[emoji3][emoji3][emoji3]*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA nilio watongoza MTANDAONI nampaka sasa tunaitana Honey Ila HATUJUANI [emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA woteee mliokimbia SHULE ila MTANDAONI wameandika wamesomea UDSM, IFM, CBE, SAUT NA UDOM nawakumbusha NAWAKUMBUSHA, MUNGU ANAWAONA*_ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

_*Nawasalimia wale WASICHANA ukichart nao wanakujibu kwa KINGEREZA ila ukimtukana Anakujibu kwa KISWAHILI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muoneni Ras Simba*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA wanao post PICHA NZURI ila hawataki kutongozwa UMEPOST YA NINI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaojiita CUTE, PRINCESS PREATY, CANDY kumbe mtaani unaitwa Bupe, Sikujua, Havinitishi[emoji23][emoji23][emoji23] WAZAZI WENU WANAWATAFUTA,*_

_*Nawasalimu WASICHANA mnao TONGOZWA mtandaoni kisha mnasema Mtumiwe NAULI, Badilisheni Mbinu VYUMA VIMEKAZA!!*_

Sent using Jamii Forums mobile app
Washakuitikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
_*Nawasalimia [emoji68]WASICHANA [emoji70]wale mnao GOOGLE chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*_

_*Nawasalimia WASICHANA weupe [emoji70]mitandaoni ila mkiwa kwenu WEUSI,*_

_*Nawasalimia WASICHANA Ninao watumia TEXT wanazijibu kwa NYODO mfano[emoji106][emoji108] P,K,O,S!! Nakaribia KUOA,*_

_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanao kuomba URAFIKI FB halafu ukianzisha Chating wanakuuliza wew NANI[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi ni Nyani kutoka Mikumi,*_

_*Nawasalimia WASICHANA ambao ukiwatongoza wakakupa majibu ya SHIT ila ukipost picha ya demu wanaweka foleni inbox Kukuuliza huyo nani,*_

_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanaopst picha ukiccoment Anareply ukimfata inbox Anauchuna ila ukitaja helaa Anakujibu kama UMEME WA LUKU Hamjambo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA nilio watongoza mkanikubalia na mkaniomba HELA hapo hapo [emoji23][emoji23] Tumeachana[emoji23]Niwaambie SICHUNIKI,*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA wazuri mpaka naogopa kuwafata INBOX nabakia kula kwa macho NAWAPENDA JAMANI[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA Tunao chuniana MITANDAONI ila Tukikutana MTAANI Mnaniita ita kama mnanijua[emoji23][emoji23][emoji23] PLEASE NIPENI BREAK,*_

_*Nawasalimia WASICHANA Ambao ni wacha MUNGU mitandaoni ila nje Ni wauza PAPA, Salamu Ziwafikie[emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaosema hakuna TRUE LOVE mitandaoni hali ya kuwa Mkiombwa No za Simu Mnatoa, KARIBUNI CHAI[emoji3][emoji3][emoji3]*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA nilio watongoza MTANDAONI nampaka sasa tunaitana Honey Ila HATUJUANI [emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA woteee mliokimbia SHULE ila MTANDAONI wameandika wamesomea UDSM, IFM, CBE, SAUT NA UDOM nawakumbusha NAWAKUMBUSHA, MUNGU ANAWAONA*_ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

_*Nawasalimia wale WASICHANA ukichart nao wanakujibu kwa KINGEREZA ila ukimtukana Anakujibu kwa KISWAHILI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muoneni Ras Simba*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA wanao post PICHA NZURI ila hawataki kutongozwa UMEPOST YA NINI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaojiita CUTE, PRINCESS PREATY, CANDY kumbe mtaani unaitwa Bupe, Sikujua, Havinitishi[emoji23][emoji23][emoji23] WAZAZI WENU WANAWATAFUTA,*_

_*Nawasalimu WASICHANA mnao TONGOZWA mtandaoni kisha mnasema Mtumiwe NAULI, Badilisheni Mbinu VYUMA VIMEKAZA!!*_

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro hivyo vingine sawa ila hilo la kupost picha nzuri afu ukimtongoza anakataa, kheee kwani kapost kwa ajili ya kutongozwa hizo za kupost ni burudani kama burudani nyingine .
Chill.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
_*Nawasalimia [emoji68]WASICHANA [emoji70]wale mnao GOOGLE chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*_

_*Nawasalimia WASICHANA weupe [emoji70]mitandaoni ila mkiwa kwenu WEUSI,*_

_*Nawasalimia WASICHANA Ninao watumia TEXT wanazijibu kwa NYODO mfano[emoji106][emoji108] P,K,O,S!! Nakaribia KUOA,*_

_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanao kuomba URAFIKI FB halafu ukianzisha Chating wanakuuliza wew NANI[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi ni Nyani kutoka Mikumi,*_

_*Nawasalimia WASICHANA ambao ukiwatongoza wakakupa majibu ya SHIT ila ukipost picha ya demu wanaweka foleni inbox Kukuuliza huyo nani,*_

_*Nawasalimia WASICHANA wale Wanaopst picha ukiccoment Anareply ukimfata inbox Anauchuna ila ukitaja helaa Anakujibu kama UMEME WA LUKU Hamjambo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA nilio watongoza mkanikubalia na mkaniomba HELA hapo hapo [emoji23][emoji23] Tumeachana[emoji23]Niwaambie SICHUNIKI,*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA wazuri mpaka naogopa kuwafata INBOX nabakia kula kwa macho NAWAPENDA JAMANI[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA Tunao chuniana MITANDAONI ila Tukikutana MTAANI Mnaniita ita kama mnanijua[emoji23][emoji23][emoji23] PLEASE NIPENI BREAK,*_

_*Nawasalimia WASICHANA Ambao ni wacha MUNGU mitandaoni ila nje Ni wauza PAPA, Salamu Ziwafikie[emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaosema hakuna TRUE LOVE mitandaoni hali ya kuwa Mkiombwa No za Simu Mnatoa, KARIBUNI CHAI[emoji3][emoji3][emoji3]*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA nilio watongoza MTANDAONI nampaka sasa tunaitana Honey Ila HATUJUANI [emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA woteee mliokimbia SHULE ila MTANDAONI wameandika wamesomea UDSM, IFM, CBE, SAUT NA UDOM nawakumbusha NAWAKUMBUSHA, MUNGU ANAWAONA*_ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

_*Nawasalimia wale WASICHANA ukichart nao wanakujibu kwa KINGEREZA ila ukimtukana Anakujibu kwa KISWAHILI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muoneni Ras Simba*_

_*Nawasalimia Wale WASICHANA wanao post PICHA NZURI ila hawataki kutongozwa UMEPOST YA NINI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale WASICHANA mnaojiita CUTE, PRINCESS PREATY, CANDY kumbe mtaani unaitwa Bupe, Sikujua, Havinitishi[emoji23][emoji23][emoji23] WAZAZI WENU WANAWATAFUTA,*_

_*Nawasalimu WASICHANA mnao TONGOZWA mtandaoni kisha mnasema Mtumiwe NAULI, Badilisheni Mbinu VYUMA VIMEKAZA!!*_

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Hilo nalo neno kwao kweli.

Message delivered;
Hili ni Jiwe la Gizani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
siku hizi msichana kabla hajakupa namba yake lazima akuulize unafanya kazi gani[emoji4] [emoji4] [emoji1] , ukimwambia nafanya kazi bank anakuandikia mwenyewe kwenye sim yako sio kukutajia ili wewe uandike. Wanajua kunyenyekea sana[emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom