Nawasalimia

Planett

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
10,497
Reaction score
16,180
_*Nawasalimia [emoji68]MADEM [emoji70]wale mnao GOOGLE chakula na kupost mitandaoni ili muonekane ni wakishua kumbe wa MBAGALA,*_

_*Nawasalimia MADEM weupe [emoji70]mitandaoni ila mkiwa kwenu WEUSI,*_

_*Nawasalimia MADEM Ninao watumia TEXT wanazijibu kwa NYODO mfano[emoji106][emoji108] P,K,O,S!! Nakaribia KUOA,*_

_*Nawasalimia MADEM wale Wanao kuomba URAFIKI FB halafu ukianzisha Chating wanakuuliza wew NANI[emoji23][emoji23][emoji23] Mimi ni Nyani kutoka Mikumi,*_

_*Nawasalimia MADEM ambao ukiwatongoza wakakupa majibu ya SHIT ila ukipost picha ya demu wanaweka foleni inbox Kukuuliza huyo nani,*_

_*Nawasalimia MADEM wale Wanaopst picha ukiccoment Anareply ukimfata inbox Anauchuna ila ukitaja helaa Anakujibu kama UMEME WA LUKU Hamjambo jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale MADEM nilio watongoza mkanikubalia na mkaniomba HELA hapo hapo [emoji23][emoji23] Tumeachana[emoji23]Niwaambie SICHUNIKI,*_

_*Nawasalimia wale MADEM wazuri mpaka naogopa kuwafata INBOX nabakia kula kwa macho NAWAPENDA JAMANI[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]*_

_*Nawasalimia Wale MADEM Tunao chuniana MITANDAONI ila Tukikutana MTAANI Mnaniita ita kama mnanijua[emoji23][emoji23][emoji23] PLEASE NIPENI BREAK,*_

_*Nawasalimia MADEM Ambao ni wacha MUNGU mitandaoni ila nje Ni wauza PAPA, Salamu Ziwafikie[emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale MADEM mnaosema hakuna TRUE LOVE mitandaoni hali ya kuwa Mkiombwa No za Simu Mnatoa, KARIBUNI CHAI[emoji3][emoji3][emoji3]*_

_*Nawasalimia Wale MADEM nilio watongoza MTANDAONI nampaka sasa tunaitana Honey Ila HATUJUANI [emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale MADEM woteee mliokimbia SHULE ila MTANDAONI wameandika wamesomea UDSM, IFM, CBE, SAUT NA UDOM nawakumbusha NAWAKUMBUSHA, MUNGU ANAWAONA*_ [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

_*Nawasalimia wale MADEM ukichart nao wanakujibu kwa KINGEREZA ila ukimtukana Anakujibu kwa KISWAHILI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muoneni Ras Simba*_

_*Nawasalimia Wale MADEM wanao post PICHA NZURI ila hawataki kutongozwa UMEPOST YA NINI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]*_

_*Nawasalimia wale MADEM mnaojiita CUTE, PRINCESS PREATY, CANDY kumbe mtaani unaitwa Bupe, Sikujua, Havinitishi[emoji23][emoji23][emoji23] WAZAZI WENU WANAWATAFUTA,*_

_*Nawasalimu MADEM mnao TONGOZWA mtandaoni kisha mnasema Mtumiwe NAULI, Badilisheni Mbinu VYUMA VIMEKAZA!!*_

Nawasalim sana.
 
Kushindana na mademu ni ujinga wa kiwango cha lami
 
Tunakusalimu wewe mwandika uzi tunaomba utafute pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…