Nathan_Mao-Tz
Member
- Jan 11, 2018
- 17
- 3
[emoji290] hakuna kitu cha thamani kama salamu, watu wengi sana mnapuuza salamu za mitandaoni mkizani ya kuwa nyie ni bora zaidi na hata hamna muda wa kupoteza, siku ya kukata roho utatamani Dunia yote ikusogelee na uwasalimu kwakua hutaiona tena sayari ya Dunia na watu wake