Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
Nipo nyumbani naangalia sinema ya Sarafina, iliyopigwa picha na kuchezwa South Africa miaka ya mwishoni ya 80.
Haichoshi kuangalia, ni nzuri mpaka imepitiliza.
Kanumba na wenzake wana safari ndefu ya kwenda, nawashangaa wenyewe wanapojiona kuwa wamefika kwenye peak.
kazini naingia usiku, si unajua nina kibanda changu cha kuuza kondom pale kona baakwanini aujaenda kazin?nataka maelezo page 4.
Umeambiwa page 4 matokeo yake umetoa msiri mmoja tu kama bajeti ya kenya wakati wewe ni mtanzania hata bajeti yako ni vitabu vinne...kazini naingia usiku, si unajua nina kibanda changu cha kuuza kondom pale kona baa
Kwa hiyo tanzania hatuna waigizaji acha kudharau kazi za wenzako...Akina kanumba wametuo koa sana tulikuwa tumekalia kuana angalia senema za kenya na nchi za zinge lakini leo angalau tuna weza kujivunia....Hv kanumba nae muigizaji? sio kitu pale wanaganga njaa tu.
kazini naingia usiku, si unajua nina kibanda changu cha kuuza kondom pale kona baa
kwanini aujaenda kazin?nataka maelezo page 4.
Ndiyo page 4 hizo? Duuuuh inaonekana wewe maarufu kwa kujua siri za wazinifu wote wanoakuja kununua condom kwako!kazini naingia usiku, si unajua nina kibanda changu cha kuuza kondom pale kona baa
Na pati tuu zake za kujinga zinaboa sanaHawa waigizaji wetu wameridhika na michezo ya kuigiza wanayotoa kila baada ya wiki mbili!