Nawashangaa polisi kuhamasisha wananchi kushiriki michezo wakati waliwakataza kutoa kilio chao juu ya utekaji na mauaji

Nawashangaa polisi kuhamasisha wananchi kushiriki michezo wakati waliwakataza kutoa kilio chao juu ya utekaji na mauaji

erasto Samwel

Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
78
Reaction score
91
Leo nimepita Mahali fulani nikasikia Gari la matangazo la jeshi la polisi likihamasisha wananchi kujitokeza uwanjani kushiriki michezo na kukaa pamoja kufichua uharifu na mambo mengine.

Nacho shangaa juzi tu polisi waliwatisha wananchi wasiandamane kupeleka kilio chao cha masahibu ya kutekwa, kuumizwa, kuuwwa, iweje leo kutaka urafiki huu wa kushirikiana na wananchi na polisi kuwatambua waharifu?

Nikikumbuka walivyokuwa Barabarani siku ile utafikiri raia ni maadui na waharifu!

Pia soma: Polisi arekodiwa akiwaamrisha wananchi watawanyike la sivyo wanaweza kufa wakati wa maandamano ya CHADEMA
 
Hakuna aliyewajibu nikifika niiteni Mbwa nimekaa pale?
 
Hesabu F
Kiswahili D
English F
Biology F
Geography F
Physics F
Civics F chemistry F
History F

KAZI :- police
 
Back
Top Bottom