Nawashangaa wenye mabasi kulalamikia Serikali kwa kukosa wateja kisa SGR wakati mikoani mabasi yanajaza hadi pomoni

Nawashangaa wenye mabasi kulalamikia Serikali kwa kukosa wateja kisa SGR wakati mikoani mabasi yanajaza hadi pomoni

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Ukisikiliza kelele na malalamiko ya Wafanyabiashara wa route za Dar-Moro-Dom-Singida Wanavyoilaani Sgr na kulaumu Serikali unapata picha jinsi watanzania hatuna ubunifu Wala aggressiveness kwenye biashara.

Yaani route hiyo Moja tuu Kilio kana kwamba ni Nchi yote Ina Sgr,Sasa ikifika Mwanza,Kigoma na Mpanda watafanyaje?

Ninachowashangaa zaidi ni kwamba saizi kiangazi abira wanaosafiri ni wengi sana huko Mikoani lakini wao badala ya watafute routes Mpya wamekomaa na hapo Dar.

Mfano routes zifuatazo Zina kampuni chache na Abiria wanajazana na kushonana Kila siku kama magunia Kwa sababu za uchache wa magari..

Ngoja thwasaidie kuwatajia routes ambazo mnaweza kuhamishia biashara zenu maana nyie hamjui kuchungulia fursa Nje ya maeneo mliyozoea.Nitajikita Nyanda za Juu Kusini

-Mbeya-Mpanda via Sumbawanga
-Mbeya-MbambaBay via Songea and Njombe
-Sumbawanga-Mbeya
-Sumbawanga-Mwanza via Mpanda
-Sumbawanga-Dar
-Sumbawanga-Iringa
-Sumbawanga-Dom via Majimoto
-Tunduma-Mwanza via Mpanda
  • Tunduma-Dodoma via Mbeya
  • Mbeya-Tunduru via Songea
  • Mbeya-Masasi via Njombe


View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1821157289354486138?t=t9ZqvJJSM_qRrlnygiWOZg&s=19

My Take
Routes za Kupeleka Mabasi ni nyingi sana kiangazi ,masika unapaki au unapunguza Mabasi.

Kinachotakiwa ni kuishinikiza Serikali ijenge Barabara nyingi kufungua Nchi Ili Sgr ikipoga mnahamia kwingine.

Mwisho,Wadau ongezeni Routes zingine Ili hao wanaolalamika Wapeleke Mabasi Yao huko kabla hawajahujumu SGR.
 
Ukisikiliza kelele na malalamiko ya Wafanyabiashara wa route za Dar-Moro-Dom-Singida Wanavyoilaani Sgr na kulaumu Serikali unapata picha jinsi watanzania hatuna ubunifu Wala aggressiveness kwenye biashara.

Yaani route hiyo Moja tuu Kilio kana kwamba ni Nchi yote Ina Sgr,Sasa ikifika Mwanza,Kigoma na Mpanda watafanyaje?

Ninachowashangaa zaidi ni kwamba saizi kiangazi abira wanaosafiri ni wengi sana huko Mikoani lakini wao badala ya watafute routes Mpya wamekomaa na hapo Dar.

Mfano routes zifuatazo Zina kampuni chache na Abiria wanajazana na kushonana Kila siku kama magunia Kwa sababu za uchache wa magari..

Ngoja thwasaidie kuwatajia routes ambazo mnaweza kuhamishia biashara zenu maana nyie hamjui kuchungulia fursa Nje ya maeneo mliyozoea.Nitajikita Nyanda za Juu Kusini

-Mbeya-Mpanda via Sumbawanga
-Mbeya-MbambaBay via Songea and Njombe
-Sumbawanga-Mbeya
-Sumbawanga-Mwanza via Mpanda
-Sumbawanga-Dar
-Sumbawanga-Iringa
-Sumbawanga-Dom via Majimoto
-Tunduma-Mwanza via Mpanda
  • Tunduma-Dodoma via Mbeya
  • Mbeya-Tunduru via Songea
  • Mbeya-Masasi via Njombe


View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1821157289354486138?t=t9ZqvJJSM_qRrlnygiWOZg&s=19

My Take
Routes za Kupeleka Mabasi ni nyingi sana kiangazi ,masika unapaki au unapunguza Mabasi.

Kinachotakiwa ni kuishinikiza Serikali ijenge Barabara nyingi kufungua Nchi Ili Sgr ikipoga mnahamia kwingine.

Mwisho,Wadau ongezeni Routes zingine Ili hao wanaolalamika Wapeleke Mabasi Yao huko kabla hawajahujumu SGR.

Golden dragon milioni 350, alafu unakuta umekopa mpaka hiyo hela irudi sio leo mzee kumbuka kuna Sumatra, service posho mafuta n. K
 
Kuliko kuilaumu serikali kwamba sgr imepunguza abiria,ni bora wakaomba kupunguziwa Kodi ili waendani na ukame wa abiria.That's it
 
Sumbawanga ~Mwanza Via Mpanda
Mkuu
Hiyo Barabara Kutoka Nkasi Kwenda Mpanda Kupitia Katavi National Park
Mchina Haitaweza
 
Ukisikiliza kelele na malalamiko ya Wafanyabiashara wa route za Dar-Moro-Dom-Singida Wanavyoilaani Sgr na kulaumu Serikali unapata picha jinsi watanzania hatuna ubunifu Wala aggressiveness kwenye biashara.

Yaani route hiyo Moja tuu Kilio kana kwamba ni Nchi yote Ina Sgr,Sasa ikifika Mwanza,Kigoma na Mpanda watafanyaje?

Ninachowashangaa zaidi ni kwamba saizi kiangazi abira wanaosafiri ni wengi sana huko Mikoani lakini wao badala ya watafute routes Mpya wamekomaa na hapo Dar.

Mfano routes zifuatazo Zina kampuni chache na Abiria wanajazana na kushonana Kila siku kama magunia Kwa sababu za uchache wa magari..

Ngoja thwasaidie kuwatajia routes ambazo mnaweza kuhamishia biashara zenu maana nyie hamjui kuchungulia fursa Nje ya maeneo mliyozoea.Nitajikita Nyanda za Juu Kusini

-Mbeya-Mpanda via Sumbawanga
-Mbeya-MbambaBay via Songea and Njombe
-Sumbawanga-Mbeya
-Sumbawanga-Mwanza via Mpanda
-Sumbawanga-Dar
-Sumbawanga-Iringa
-Sumbawanga-Dom via Majimoto
-Tunduma-Mwanza via Mpanda
  • Tunduma-Dodoma via Mbeya
  • Mbeya-Tunduru via Songea
  • Mbeya-Masasi via Njombe


View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1821157289354486138?t=t9ZqvJJSM_qRrlnygiWOZg&s=19

My Take
Routes za Kupeleka Mabasi ni nyingi sana kiangazi ,masika unapaki au unapunguza Mabasi.

Kinachotakiwa ni kuishinikiza Serikali ijenge Barabara nyingi kufungua Nchi Ili Sgr ikipoga mnahamia kwingine.

Mwisho,Wadau ongezeni Routes zingine Ili hao wanaolalamika Wapeleke Mabasi Yao huko kabla hawajahujumu SGR.

HAWA WAMETUTESA SANA ZAMU YAO

HATA YA MIZIGOO WALIENDA KUPIGA DILI TREN ZISHINDWE BEBA

AMKUMBHUKI KUNA MFANYABIASHARA ARUSHA WA MABASI NA MALORI ALIKAMATWA MADOGO WALIPOBANWA WAKAMTAJA KUWAELEKEZA WAKAHARIBU MIUNDO MBINU

HAPA MAMA ASIPOKOMAAA WATATUCHEZEA
 
Ukisikiliza kelele na malalamiko ya Wafanyabiashara wa route za Dar-Moro-Dom-Singida Wanavyoilaani Sgr na kulaumu Serikali unapata picha jinsi watanzania hatuna ubunifu Wala aggressiveness kwenye biashara.

Yaani route hiyo Moja tuu Kilio kana kwamba ni Nchi yote Ina Sgr,Sasa ikifika Mwanza,Kigoma na Mpanda watafanyaje?

Ninachowashangaa zaidi ni kwamba saizi kiangazi abira wanaosafiri ni wengi sana huko Mikoani lakini wao badala ya watafute routes Mpya wamekomaa na hapo Dar.

Mfano routes zifuatazo Zina kampuni chache na Abiria wanajazana na kushonana Kila siku kama magunia Kwa sababu za uchache wa magari..

Ngoja thwasaidie kuwatajia routes ambazo mnaweza kuhamishia biashara zenu maana nyie hamjui kuchungulia fursa Nje ya maeneo mliyozoea.Nitajikita Nyanda za Juu Kusini

-Mbeya-Mpanda via Sumbawanga
-Mbeya-MbambaBay via Songea and Njombe
-Sumbawanga-Mbeya
-Sumbawanga-Mwanza via Mpanda
-Sumbawanga-Dar
-Sumbawanga-Iringa
-Sumbawanga-Dom via Majimoto
-Tunduma-Mwanza via Mpanda
  • Tunduma-Dodoma via Mbeya
  • Mbeya-Tunduru via Songea
  • Mbeya-Masasi via Njombe


View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1821157289354486138?t=t9ZqvJJSM_qRrlnygiWOZg&s=19

My Take
Routes za Kupeleka Mabasi ni nyingi sana kiangazi ,masika unapaki au unapunguza Mabasi.

Kinachotakiwa ni kuishinikiza Serikali ijenge Barabara nyingi kufungua Nchi Ili Sgr ikipoga mnahamia kwingine.

Mwisho,Wadau ongezeni Routes zingine Ili hao wanaolalamika Wapeleke Mabasi Yao huko kabla hawajahujumu SGR.

Swali langu kwako,wewe ni mfanyabiashara hiyo au ni mtoza ushuru?
 
Back
Top Bottom