Nawashauri vijana , wazazi/walezi kabla watoto wenu hawaijingia Chuo wapelekeni VETA kwanza mtanishukuru baadae!

Nawashauri vijana , wazazi/walezi kabla watoto wenu hawaijingia Chuo wapelekeni VETA kwanza mtanishukuru baadae!

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Nikiwa kama mmoja wa wahitimu wa Chuo naomba kuwasilisha kuwa kwa observation yangu miaka minne tangu nipate elimu
Kwa Sasa Bila ujuzi wa kazi za mikono vijana lazima tutapata depression sana

Nashauri vijana msijifanye kushupaza shingo na angalau msiwe na mihemko ya kuwahi kwenda chuo kwa elimu ya makaratasi ilhali mnajua kabsa hamna ujuzi wowote wa mikono

Wazazi pia msilete uzamani wa kwamba mtoto lazima afike Chuo kwanza hoja ya msingi ni kuwa mtu anapotoka VETA anaijua kazi na pia anaweza kujitegemea mwenyewe mashahidi ni nyie wenyewe huko mitaani kwenu. Kinachokuja kumtofautisha mwanachuo na VETA students ni uwezo wa kufanya maamuzi na kupangilia kwa mwanachuo ni mkubwa kuliko VETA leaving students

Nawasilisha kazi za mikono kama ifuatavyo:- ( Ruksa kuchallenge)

1. kuna Ufundi magari
_ Wiring ya magari
  • Ufundi wa engine
  • Ufundi wa mitungi ya gesi kwenye magari na bajaji
  • General car mechanics

2. Ufundi wa ELectronics devices

3. Ufundi rangi wa nyumba(painting)

4. Ufundi ujenzi kwa ujumla (especially specialize kwenye gypsum na vigae, na kuna kudesign alluminium milango na madirisha)

5. Udereva

6. Upishi, bakery na upambaji (kwa wadada) (na kuhakikisha kijana hautashinda njaa wala kuzunguka na bahasha kama sisi)

Naomba kuwasilisha wengine wanaojua kazi za mikono ongezeni hapo! Ila hizo kazi haZiihitaji lemama ni shooshoo😆
 
Mimi naona JKT kwa mujibu ingefutwa, hiyo miezi kadhaa wanafunzi wakajifunze hata namna ya kuunganisha maji
 
Tatizo, wenye fani hizo tayari wapo mtaani na wengne wanaendelea kusoma, na mtaani kazi znatoka ni chache kulingana na mafundi waliopo, wengi wanashinda vijiweni bila kazi

ni vizuri mtu kuwa na ujuzi itachochea wengi kujiajiri lakini mtaani bado kugumu
 
Target ni kuweza kujiajiri "one man" Yan atleast kwa mwez ukiwa maskani huwezi kosa vimeo viwili vitatu vya kazi mfano ni fundi magari magari yanaharibika Kila sku kimsingi ni kuwa na sanduku lako la spana kwa ujumla any time kikinuka unapepea kwa kmeo ufundi umeme hivo hivo viraka kwenye majumba ya watu vipo huwa havikosi na hahiitaji vyeti
 
Mimi naona JKT kwa mujibu ingefutwa, hiyo miezi kadhaa wanafunzi wakajifunze hata namna ya kuunganisha maji
Mimi nilikataa kwenda uko kujifunza matusi na kushika SMG mara moja tu. Nikaenda zangu kufanya kibarua cha mradi wa serikali bora nilichangia ujenzi wa taifa hata leo nikipita najivunia jasho langu.
 
Mimi nilikataa kwenda uko kujifunza matusi na kushika SMG mara moja tu. Nikaenda zangu kufanya kibarua cha mradi wa serikali bora nilichangia ujenzi wa taifa hata leo nikipita najivunia jasho langu.
Hahaha! kaka umenifurahisha eti kujifunza matusi. Daaah
 
Uf
Nikiwa kama mmoja wa wahitimu wa Chuo naomba kuwasilisha kuwa kwa observation yangu miaka minne tangu nipate elimu
Kwa Sasa Bila ujuzi wa kazi za mikono vijana lazima tutapata depression sana

Nashauri vijana msijifanye kushupaza shingo na angalau msiwe na mihemko ya kuwahi kwenda chuo kwa elimu ya makaratasi ilhali mnajua kabsa hamna ujuzi wowote wa mikono

Wazazi pia msilete uzamani wa kwamba mtoto lazima afike Chuo kwanza hoja ya msingi ni kuwa mtu anapotoka VETA anaijua kazi na pia anaweza kujitegemea mwenyewe mashahidi ni nyie wenyewe huko mitaani kwenu. Kinachokuja kumtofautisha mwanachuo na VETA students ni uwezo wa kufanya maamuzi na kupangilia kwa mwanachuo ni mkubwa kuliko VETA leaving students

Nawasilisha kazi za mikono kama ifuatavyo:- ( Ruksa kuchallenge)

1. kuna Ufundi magari
_ Wiring ya magari
  • Ufundi wa engine
  • Ufundi wa mitungi ya gesi kwenye magari na bajaji
  • General car mechanics

2. Ufundi wa ELectronics devices

3. Ufundi rangi wa nyumba(painting)

4. Ufundi ujenzi kwa ujumla (especially specialize kwenye gypsum na vigae, na kuna kudesign alluminium milango na madirisha)

5. Udereva

6. Upishi, bakery na upambaji (kwa wadada) (na kuhakikisha kijana hautashinda njaa wala kuzunguka na bahasha kama sisi)

Naomba kuwasilisha wengine wanaojua kazi za mikono ongezeni hapo! Ila hizo kazi haZiihitaji lemama ni shooshoo😆
ufundi bomba
 
Nikiwa kama mmoja wa wahitimu wa Chuo naomba kuwasilisha kuwa kwa observation yangu miaka minne tangu nipate elimu
Kwa Sasa Bila ujuzi wa kazi za mikono vijana lazima tutapata depression sana

Nashauri vijana msijifanye kushupaza shingo na angalau msiwe na mihemko ya kuwahi kwenda chuo kwa elimu ya makaratasi ilhali mnajua kabsa hamna ujuzi wowote wa mikono

Wazazi pia msilete uzamani wa kwamba mtoto lazima afike Chuo kwanza hoja ya msingi ni kuwa mtu anapotoka VETA anaijua kazi na pia anaweza kujitegemea mwenyewe mashahidi ni nyie wenyewe huko mitaani kwenu. Kinachokuja kumtofautisha mwanachuo na VETA students ni uwezo wa kufanya maamuzi na kupangilia kwa mwanachuo ni mkubwa kuliko VETA leaving students

Nawasilisha kazi za mikono kama ifuatavyo:- ( Ruksa kuchallenge)

1. kuna Ufundi magari
_ Wiring ya magari
  • Ufundi wa engine
  • Ufundi wa mitungi ya gesi kwenye magari na bajaji
  • General car mechanics

2. Ufundi wa ELectronics devices

3. Ufundi rangi wa nyumba(painting)

4. Ufundi ujenzi kwa ujumla (especially specialize kwenye gypsum na vigae, na kuna kudesign alluminium milango na madirisha)

5. Udereva

6. Upishi, bakery na upambaji (kwa wadada) (na kuhakikisha kijana hautashinda njaa wala kuzunguka na bahasha kama sisi)

Naomba kuwasilisha wengine wanaojua kazi za mikono ongezeni hapo! Ila hizo kazi haZiihitaji lemama ni shooshoo😆
Ok sawa embu uwaambie na course ambayo uliyo isoma chuo ili wengn wasiingie uko, kwa mkumbo na mihemko
 
Nikiwa kama mmoja wa wahitimu wa Chuo naomba kuwasilisha kuwa kwa observation yangu miaka minne tangu nipate elimu
Kwa Sasa Bila ujuzi wa kazi za mikono vijana lazima tutapata depression sana

Nashauri vijana msijifanye kushupaza shingo na angalau msiwe na mihemko ya kuwahi kwenda chuo kwa elimu ya makaratasi ilhali mnajua kabsa hamna ujuzi wowote wa mikono

Wazazi pia msilete uzamani wa kwamba mtoto lazima afike Chuo kwanza hoja ya msingi ni kuwa mtu anapotoka VETA anaijua kazi na pia anaweza kujitegemea mwenyewe mashahidi ni nyie wenyewe huko mitaani kwenu. Kinachokuja kumtofautisha mwanachuo na VETA students ni uwezo wa kufanya maamuzi na kupangilia kwa mwanachuo ni mkubwa kuliko VETA leaving students

Nawasilisha kazi za mikono kama ifuatavyo:- ( Ruksa kuchallenge)

1. kuna Ufundi magari
_ Wiring ya magari
  • Ufundi wa engine
  • Ufundi wa mitungi ya gesi kwenye magari na bajaji
  • General car mechanics

2. Ufundi wa ELectronics devices

3. Ufundi rangi wa nyumba(painting)

4. Ufundi ujenzi kwa ujumla (especially specialize kwenye gypsum na vigae, na kuna kudesign alluminium milango na madirisha)

5. Udereva

6. Upishi, bakery na upambaji (kwa wadada) (na kuhakikisha kijana hautashinda njaa wala kuzunguka na bahasha kama sisi)

Naomba kuwasilisha wengine wanaojua kazi za mikono ongezeni hapo! Ila hizo kazi haZiihitaji lemama ni shooshoo😆
umenena vyema mkuu
 
Ni wazo zuri , mtu anasoma form one hadi form 6 akimaliza hana ujuzi wowote anaoufahamu
 
Back
Top Bottom