Nawashauri Wana JF Waislamu kila ijumaa muende misikitini

Nawashauri Wana JF Waislamu kila ijumaa muende misikitini

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Watu wote nawasalimia hasa wenye Imani kwa mwenyeziMungu napenda kuwasihi kama hujapata nafasi ya kwenda kusali swala tano Basi angalau ijumaa uende masjid nyie Ni ndugu zangu lazima nawashauri vizuri Mambo yanayofaa kwa hiyari kabisa tokea Sasa mpate muda tuendelee kuwa washirika wa jf.naam itakuwa faida Sana kwangu kwa kutii kwako utafanya Zaidi ya sala utajaliwa Sana nakusalimu sana.asalam alyekum

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom