Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,574
- 1,549
Natoa Shukrani kwa wote walionesha kujali nakutumia sekunde chache kuandika andiko juu ya kunitakia heri ya siku ya kuzaliwa, Mwenyezi Mungu awajalie kila la heri
Shukrani za Pekee ziende kwa Yna2 Ambae ndie alibandika Andiko la kunitakia heri ya kuzaliwa, Nawapenda wote marafiki zangu, Aksanteni.
Shukrani za Pekee ziende kwa Yna2 Ambae ndie alibandika Andiko la kunitakia heri ya kuzaliwa, Nawapenda wote marafiki zangu, Aksanteni.