MENISON
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 726
- 621
Sasa takribani mwezi mmja nawashwa mwili mzima sasa, na nilianza tu baada ya kumgegeda dem mmoja siku ya 3 ndo ikawa hivi ,nilifanya kavu sasa nawasiwasi kaniachia ngoma au ugonjwa gani huu? nilienda kairuki last week nikaambiwa nimuone daktari wa aleji j4 lakini kabla ya kwenda huko, hili tatizo kuna mtu lilishawahi kumpata?
Yaani natenda nusu saa ya kujikuna haijawahi nitokea kabisa.
Yaani natenda nusu saa ya kujikuna haijawahi nitokea kabisa.