Sasa kama hakuna utavionaje
dawa yake ni kumshika mkono akuonyeshe vilipo isije mashine za juice za miwa anaita viwondersasa bwana yule mbona anasema vipo elfu kadhaa
dawa yake ni kumshika mkono akuonyeshe vilipo isije mashine za juice za miwa anaita viwonder
Wewe mwenyw unayatafuta mengiAhahahaaaa mkuu ni mengi yamenikuta
aah kawaida mkuuWewe mwenyw unayatafuta mengi
Tukiuwa sana tutakuwa sio wazalendohahahahahahhaah sasa sio ndio viwonder kweli ? ufalme ukifitinika asee ni hatar tupu hata wanotengeneza majiko ya mkaa wanaitwa wenye viwonder 🙂
aaah mkuu mimi naona labda ndo fashion yaoMkuu hela ya Gillette tarizo labda[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
duuh nimekusomaWa namna hiyo hata za kwapa hawanyoi.Ukishaona kakichaka kwenye kwapa ishia hapo ondoka.
Mkuu hbar za saut[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ila ww unavituko sana
eti kakukata kata[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
Hahahaaaaaaaaaaaaa daaaaah mtatuua Kwa vicheko.. Aisee hapo hata touch inaweza isiioneunakutana na kitu kama hii unaitafuta kwa tochi aise
Duuh kila mmoja hujiamulia na maisha yakeunakutana na kitu kama hii unaitafuta kwa tochi aise
Aksante maoni yako yamepokelewa na yatafanyiwa kaziMi naona ungewashauri hao wapenzi wako unaokutana nao. Wapenzi wetu sie wanapenda misitu! So ushauri wako kwangu is not applicable!