Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Yaaani kama wakiwaacha wakakusanyika, Mwenyekiti wao akahutubia, yakaisha, shida nini?Hatari Sana Hii
Mmhh chadema Wala rushwa ndo watikise nchi kweli?Nchi hii bila kukichafua tutachezeana sana.
MmmmmghMmhh chadema Waka rushwa ndo watikise nchi kweli?
Ili?TLS wana semaje?
TutawashughulikiaMbona ni mapema mno jamani.