Nawasihi walimu wa Tanzania wasikae kimya kuhusu Chama cha Walimu Tanzania

Nawasihi walimu wa Tanzania wasikae kimya kuhusu Chama cha Walimu Tanzania

Jostamas

Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
26
Reaction score
8
Nawasihi walimu wa Tanzania, wasikae kimya kuhusu CWT, sab kwa muonekano wa nje chama ni chao, ila kiundani chama sio chao, kwani wanachama ndio huamua kuhusu chama chao, ila walimu wa Tanzania hawaamui chochote kuhusu chama chao!

Hata mapato na matumizi ya kila mwezi ya chama chao hawayajui, chama kinaongeza matumizi baada ya kupunguza, mfano, kunahaja gani ya kua na makatibu kila wilaya wakitumia gari na mafuta kwa makato ya wanachama, benki ya wimu ina riba ya 16% ambayo bado ni kubwa sana kwa walimu, na inatakiwa walimu wote wanao katwa wna CWT wapewe gawio la faida kwani benki inaendeshwa kwa mchango wa pesa zao ila wanapotoshwa kwa kuambiwa wanunue hisa wakat hata wasipo nunua hisa fedha zao zinatumika.

AMKENI Walimu.
 
CWT, TFF, TUCTA, nk. Ni vyama vya CCM! Hivyo hata walimu waamue kupambana vipi, mwisho wa siku watashindwa tu.

CCM inakera sana! Maana inalea wizi, ufisadi, ujangili na uhujumu uchumi kwa kiwango cha kutisha sana. Siku ya ccm kutoka madarakani, kila kitu kitarudi katika hali yake ya kawaida.
 
CWT nakifananisha hichi chama na mbwa koko anayelinda kwa majirahi na kuacha kulinda nyumbani amkeni acheni kutumika!
 
CWT, TFF, TUCTA, nk. Ni vyama vya CCM! Hivyo hata walimu waamue kupambana vipi, mwisho wa siku watashindwa tu.

CCM inakera sana! Maana inalea wizi, ufisadi, ujangili na uhujumu uchumi kwa kiwango cha kutisha sana. Siku ya ccm kutoka madarakani, kila kitu kitarudi katika hali yake ya kawaida.
Jumlisha Bakwata
 
CWT, TFF, TUCTA, nk. Ni vyama vya CCM! Hivyo hata walimu waamue kupambana vipi, mwisho wa siku watashindwa tu.

CCM inakera sana! Maana inalea wizi, ufisadi, ujangili na uhujumu uchumi kwa kiwango cha kutisha sana. Siku ya ccm kutoka madarakani, kila kitu kitarudi katika hali yake ya kawaida.
True!
 
CHAKUHAWATA Ndio wakati WAO WA kuvuna wanachama Zaidi.
Kinachotakiwa wafanye kwa Sasa , ni Kupita mashuleni na FOMU ZAO za kujiunga uanachama.
Ndani ya oktoba hii 2023 , wataupiga Sana.
 
Back
Top Bottom