Nawatafuta wachezaji wa T/Tennis 2011-2015

BMI

Member
Joined
Nov 23, 2016
Posts
19
Reaction score
13
Ndugu wana JF, habar zenu? Natumai mko powa!

Nawatafuta wachezaji wa t/tennis almaarifu ping-pong players wote waliowahi kushiriki mashindano ya Ummiseta kuanzia 2010-2015 toka Tanzania bara.

Ahsanteni sana natumai mpo mnanisikia kuna mpango kazi kwa ajili yenu. Kwa mawasiliano zaidi tuma taarifa zako kupitia issaburian6pcm@gmail.com
 
Natumaini wapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…