Nawatakia heri ya Christmas na maandalizi mema ya mapumziko ya mwaka mpya 2025 wajumbe wote wa mkutano mkuu wa CHADEMA taifa

Nawatakia heri ya Christmas na maandalizi mema ya mapumziko ya mwaka mpya 2025 wajumbe wote wa mkutano mkuu wa CHADEMA taifa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Msisahau.
Mwaka mpya2025, lipo jukumu muhimu na la maana sana la kutekeleza kwa maslahi mapana na ustawi wa chadema. Nalo ni kumkataa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na kuukataa katu katu ukoloni mambo leo anaojaribu kuuingiza nchini huyo kibaraka.

Mpaka sasa,
Shukran za kipekee ziwaendee wenyeviti wa kanda zote 10 za kiutawala za Chadema, kwa namna ambavyo wamesimama vizuri sana, kizalendo katika nafasi zao, na kuhakikisha wajumbe wote wa mkutano mkuu Taifa, katika kanda zao, wana uelekeo na lengo moja la kumshughulikia na kumpinga kibaraka wa mkoloni kisayasi.

Shukran za ziada,
ziwaendee wenyeviti wa mikoa, wenyeviti wa wilaya na kata zote nchini, kwa namna walivyosimama imara kwenye nafasi zao, na kuelekeza nguvu na jitihada zao zote kuhakikisha hakuna namna kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anaweza kujipenyeza kwnye chama na kuivuruga chadema iliyo chini ya viongozi waandamizi wazalendo kitaifa.

Aidha,
nawatakia wadau wote wa JF Neema na Baraka tele za Christmass, na utulivu wenye amani katika kuupokea mwaka mpya2025. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanazania
 
Msisahau.
Mwaka mpya2025, lipo jukumu muhimu na la maana sana la kutekeleza kwa maslahi mapana na ustawi wa chadema. Nalo ni kumkataa kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na kuukataa katu katu ukoloni mambo leo anaojaribu kuuingiza nchini huyo kibaraka.

Mpaka sasa,
Shukran za kipekee ziwaendee wenyeviti wa kanda zote 10 za kiutawala za Chadema, kwa namna ambavyo wamesimama vizuri sana, kizalendo katika nafasi zao, na kuhakikisha wajumbe wote wa mkutano mkuu Taifa, katika kanda zao, wana uelekeo na lengo moja la kumshughulikia na kumpinga kibaraka wa mkoloni kisayasi.

Shukran za ziada,
ziwaendee wenyeviti wa mikoa, wenyeviti wa wilaya na kata zote nchini, kwa namna walivyosimama imara kwenye nafasi zao, na kuelekeza nguvu na jitihada zao zote kuhakikisha hakuna namna kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi anaweza kujipenyeza kwnye chama na kuivuruga chadema iliyo chini ya viongozi waandamizi wazalendo kitaifa.

Aidha,
nawatakia wadau wote wa JF Neema na Baraka tele za Christmass, na utulivu wenye amani katika kuupokea mwaka mpya2025. :pulpTRAVOLTA:

Mungu Ibariki Tanazania
nawe pia chrismas njema mjumbe gentleman
 
Hili andiko limenikumbusha Ahmed alivyotaka kuchukuwa form ya urais akaambiwa si mtanzania mara ataleta vita mara......n.k hivyo nikawaida ya wanasiasa wakitafuta madaraka hutumia njia zote za siri na za dhahiri ilmradi wabakie madarakani hakika aliyeandika kitabu cha the door of no return nampobgeza sna
 
Back
Top Bottom