Nawatakia usiku mwema.

Nawatakia usiku mwema.

Genekai

R I P
Joined
Feb 9, 2010
Posts
12,514
Reaction score
4,998
Mwenzenu kesho kazi nyingi naomba niwatakie usiku mwema ila onyo kwa mliooa angalieni muda mwingi wa usiku msiutumie kwenye komputa wake zenu hawatafurahia. It is just a polite notice you can take it or discard it. Mwaenzenu niko singo tu hata kama ni kufika asubuhi hakuna wa kuninunia. Alamsiki!
 
Mwenzenu kesho kazi nyingi naomba niwatakie usiku mwema ila onyo kwa mliooa angalieni muda mwingi wa usiku msiutumie kwenye komputa wake zenu hawatafurahia. It is just a polite notice you can take it or discard it. Mwaenzenu niko singo tu hata kama ni kufika asubuhi hakuna wa kuninunia. Alamsiki!

Afu mnasema wazalendo wa Tariiiime waache kuilima! Na hawa Wateja wataenda wapi????
 
Back
Top Bottom