Nawatakieni jumatatu njema mabibi na mabwana


Hapo sijapaelewa.....na treni au tukutuku?
 
NJOO UFANYIWE MAOMBI....!leo tutakuwa africana pub...!NJOOO NJOOO NJOOO NJOOOOO NJOOO UFANYIWE MAOMBIIIII

Halafu nimesahau kukupa tangazo la jana, Ni kwamba kutakuwa na Mkesha wa kuombea familia Ijumaa hii, pale pale kanisani. Tafadhali usikose. Mtafuteni Mungu kwa bidii
 
Amen Msasha, lakini weekend ijayo itabidi nije kukutembelea, haiwezekani kaka kujificha huko kiasi hicho, mwisho utuletee chasaka bureeee!!
hahaha Mshiki karibu Usalule, Say No to Chasaka...lol:A S-fire1:
 
Hapo sijapaelewa.....na treni au tukutuku?

Inaweza Ikiwa treni, tukutuku, au kugongwa moyo. Ile style ya biologia kuchange from Biology, Chemistry to Physics. Hapa Finest anaweza akakusaidia zaidi.
 
Wale waliotongoza wakafanikiwa hongera, na wale waliotongozwa wakatoa big up...
 
hahaha Mshiki karibu Usalule, Say No to Chasaka...lol:A S-fire1:

Hahahaha kaka, nasikia na wewe umeshaanza kuzoea nyama ya mbuzi wa huko, wale ambao huku kwetu ni walinzi wa usiku.
 
Weekends don't count unless you spend them doing something completely pointless.
 
Thanks LD kwa kweli weekend ilikuwa a blast kwa upande wangu due to the following:-

Baba mwenye nyumba aliwahi kurudi nyumbani kucheza na junior mshangao kubwa
Hakuwa amelewa
Alishiriki dinner na familia
Alienda kanisani jana for the first time this year - asante Mungu
Leo asubuhi amempeleka junior shuleni

Teamo nashukuru kwa ile thread yako nafikiri aliisoma hapa nina kazi ya ziada kutafuta ID yake.

Changes are there to be made hureeeeeeeeeeee 2011
 


Nyumba ndogo ilisafiri, hivyo sikuwa na option..
 
Wale waliotongoza wakafanikiwa hongera, na wale waliotongozwa wakatoa big up...

Mmmm haya bwana, lakini nawashauri wale waliotongozwa waangalie wasije wakawa walisema ndio sehemu ya kusema hapana. Halafu wajitaidi kuwa wagumu kidogo.
 
Thanx. My week end was great, nashukuru Mungu...! Ilikuwa ni kupika, kula, kushiba, dose ya kufa mtu...hapa mwepeeeesi kama unyoya...lol
 
Weekends don't count unless you spend them doing something completely pointless.

Mzima lakini kaka, kikubwa nashukuru kwa sababu una uzima na afya.
 
mzima lakini kaka, kikubwa nashukuru kwa sababu una uzima na afya.

mi mzima ld....kuna jambo moja vere pointless nimelifanya zis week end ila nashukuru ni j tatu nyingine tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…