Nawatakieni jumatatu njema mabibi na mabwana

Wameja, wasalipa, ndaga fijo, thanks, idaga na nyingine nyigi. ILa tuu kwenye soda wanywe mvinyo mmh hapo nina mashaka nilidhani utawashauri wanywe maji.
 
mi mzima ld....kuna jambo moja vere pointless nimelifanya zis week end ila nashukuru ni j tatu nyingine tena

Pole mwaya, take it simple if it is possible, wakati mwingine lazima tukosee ili tujifunze kufikiria vizuri.
 

Naungana na wewe kufurahi katika hili, na Mungu amwezeshe awe anafanya hivi kila inapowezekana.
 
Wameja, wasalipa, ndaga fijo, thanks, idaga na nyingine nyigi. ILa tuu kwenye soda wanywe mvinyo mmh hapo nina mashaka nilidhani utawashauri wanywe maji.

Karibu sana Wakumwitu, weekend yako ilikuwa nzuri ee!
Hapo sio lazima sana kunywa ila kwa afya kama unaweza pata kidogo tu na maji kwa sana.

Hicho kidogo kama dawa vile, yani chupa moja ya mvinyo unaweza ukainywa kwa mwezi mmoja.
 
Amani ya bwana iwe juu yako LD, akuangazie na kukuongoza katika kila jambo
 

Don't count your chickens before they're hatched.

Nyumba ndogo ilisafiri, hivyo sikuwa na option..

:disapointed:

 
hahaha Mshiki karibu Usalule, Say No to Chasaka...lol:A S-fire1:

Amen Msasha, lakini weekend ijayo itabidi nije kukutembelea, haiwezekani kaka kujificha huko kiasi hicho, mwisho utuletee chasaka bureeee!!



Mh...!!! Vyasaka tena...??? But ok all I can say is thank you for good monday wishes.
 
Asante LD yangu wala haikuwa nzuri hata kidogo
kwa sababu mbali mbali zilizo nje ya uwezo wangu
Lakini nakushuru ,weekend ijayo naomba ukaribisho kwako
 
LD:

Posted via Mobile

Nadhani wewe bado upo kwenye "jakuzi"?
 
Mh...!!! Vyasaka tena...??? But ok all I can say is thank you for good monday wishes.

Niambie PM, mzima lakini baba, hebu niambie weekend yako ilikuwa nzuri ee!!
Ila PM nitakutafuta, haiwezekani baada tu ya sherehe ya kuzaliwa uwe mtakatifu, natamani kujua kuna nini kinachopelekea hicho.

Wakati maalumu/sababu maalumu natamani kuijua.
Hakuna chasaka hapa PM bwana, Weusi nawapenda.
 
1. Nawapongeza wale waliolewa kupita kiasi weekend ijayo mpunguze,
2. Wale waliotongoza wengine kwa dharau muache.
3. Wale waliogongwa poleni,

Sijui weekend hii ulikuwa unafuatilia nyendo za Baba_Enock? It seems wewe ndiye ulikuwa umekaa karibu na counter pale naniiiii?
 
Asante LD yangu wala haikuwa nzuri hata kidogo
kwa sababu mbali mbali zilizo nje ya uwezo wangu
Lakini nakushuru ,weekend ijayo naomba ukaribisho kwako

Karibu sana FL1, yani karibu kwa herufi kubwa.
Hayo mengine pole mwaya, lakini usijali Mungu ni mwema.

Kila jambo linakusudi kwake, cha muhimu ametupa uzima tumshukuru.
 
LD:

Posted via Mobile

Nadhani wewe bado upo kwenye "jakuzi"?

Mmmh BE hapana bwana, mtandao unasumbua hapa kwa mkoloni wangu.
So naona bora nitumie kamchina kangu tu.
 
Sijui weekend hii ulikuwa unafuatilia nyendo za Baba_Enock? It seems wewe ndiye ulikuwa umekaa karibu na counter pale naniiiii?

Weweee kwanza babu alikupa salamu zangu, na kama alikupa kwa nini hukujibu??
Halafu uache kunifananisha bwana, usijenigombanisha na Paka Mweusi bure.

Na siku hizi ni mtakatifu, hataki mambo ya counter kabisaaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…