Nawatakieni jumatatu njema mabibi na mabwana

Amani ya bwana iwe juu yako LD, akuangazie na kukuongoza katika kila jambo

Amen Mtumishi, hope Ibada za jana zilikwenda vizuri, na hakuna kondoo aliyepotea.
 
lily flower karibu kwenye felllowship yetu ipo hapa tegeta kwa ndevu......!

njoo ufanyiwe maombi mama
 
lily flower karibu kwenye felllowship yetu ipo hapa tegeta kwa ndevu......!

njoo ufanyiwe maombi mama

Hahahaha, like it. Mtumishi mwaminifu wewe.
 
Ubarikiwe sana mpendwa

Amen mpendwa, habari yako binafsi lakini.
Halafu acha kunitenga mi kijana mwenzio bana.
Hao wazee achana nao hao,anza kuambatana na vijana wenzako.

Hivi babu yupo wapi.
 
Sante bibie........unipitie leo twende fellowship
 
Sante bibie........unipitie leo twende fellowship

Habariki yake mtu mweupe, weekend yako ilikuwa nzuri kaka ee!

Haya kaka nitakupitia, tumtafute Mungu kwa bidii.
 
Lager bwana ni noma saaa nyingine mie ndo zimepungua jioni hii maana mchana nilikuwa not reachable kabisa. Asante
 
Lager bwana ni noma saaa nyingine mie ndo zimepungua jioni hii maana mchana nilikuwa not reachable kabisa. Asante

Oooh pole mwaya lakini weekend ijayo si utaonja kidogo tu, kwa afya.
Usije ukazeeka mapema.

Halafu nashukuru zaidi kwa sababu uko salama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…