wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
kwa wale wachezaji mpira wa miguu mnaojiita wachezaji wa zamani kujifanya mlifanya vizuri kwa lipi.
mlilifikisha wapi taifa lenu sioni na sijasikia kwamba mlifika hata fainali kombe la afcon.
sana tu mlicheza kwa bidii bila mafanikio
mlilifikisha wapi taifa lenu sioni na sijasikia kwamba mlifika hata fainali kombe la afcon.
sana tu mlicheza kwa bidii bila mafanikio