Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Habari wana MMU,
Nitakua naweka mada kila Ijumaa zinazohusu mambo mbalimnali kama wanawake, watoto, mahusiano nk. Lengo la mada hizi ni kutoa elimu kwa jamii.
Mada hizo zitakuwa zinawasilishwa mapema na Mjadala utaanza saa sita mchana.
Mimi ninaomba Moderators watusaidie kuongoza mjadala huu ili kuweka mambo sawa. Kila atakayeshiriki atoe mawazo bila kutoka nje ya mada au kuleta mizaha na utani.
Ijumaa hii (Tarehe 16/4/2021) nitaanza na mada inayohusu 'Unyanyasaji wa kingono kwa watoto (wa kike na wa kiume)'
Asanteni.
Nitakua naweka mada kila Ijumaa zinazohusu mambo mbalimnali kama wanawake, watoto, mahusiano nk. Lengo la mada hizi ni kutoa elimu kwa jamii.
Mada hizo zitakuwa zinawasilishwa mapema na Mjadala utaanza saa sita mchana.
Mimi ninaomba Moderators watusaidie kuongoza mjadala huu ili kuweka mambo sawa. Kila atakayeshiriki atoe mawazo bila kutoka nje ya mada au kuleta mizaha na utani.
Ijumaa hii (Tarehe 16/4/2021) nitaanza na mada inayohusu 'Unyanyasaji wa kingono kwa watoto (wa kike na wa kiume)'
Asanteni.