THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Niwaambie tu Viongozi wa Simba mtakua na wakat Mgumu sana, ukweli ni kua Mashabiki wa Simba watawageuka vibaya Mno na vile hua hawakawii kusema muondoke muwaachie Team yao mtaona.
Ombeeni Match ipangwe mapema kabla ya kucheza Michezo yoyote ya Ligi,
Au muiotoe Al Masry ila mkatolewa CAF then mkaja mkadondosha point hata Kwa Droo tu kwenye Ligi,
Hivi unawaza kma Mimi Mashabiki watatoa KAULI ZIPI?na ukiangalia hapo kitakua na game sasa Vs Yanga😂😂
Mtaombea ya Match ya Jana ingechezwa.
So Kwa saiv kinachoenda kutaftwa ni nyie kudondosha point na Hilo litafanikiwa Nina 100% mtadondosha point either Draw au kufungwa.
Dominika Njema🇲🇽
Ombeeni Match ipangwe mapema kabla ya kucheza Michezo yoyote ya Ligi,
Au muiotoe Al Masry ila mkatolewa CAF then mkaja mkadondosha point hata Kwa Droo tu kwenye Ligi,
Hivi unawaza kma Mimi Mashabiki watatoa KAULI ZIPI?na ukiangalia hapo kitakua na game sasa Vs Yanga😂😂
Mtaombea ya Match ya Jana ingechezwa.
So Kwa saiv kinachoenda kutaftwa ni nyie kudondosha point na Hilo litafanikiwa Nina 100% mtadondosha point either Draw au kufungwa.
Dominika Njema🇲🇽