Nawaza tu.....!

dah yaweza kuwa kweli haya uyawazayo ila kama wewe ni mwaminifu tegemea kupata mwaminifu mwenzako kinyume na hapo utabiri wako lazma uwe kweli maana aliwazalo.........ndilo litalomtokea
 
Nawaza tu na kabaridi hiki mke wangu mtarajiwa nisiyemjua inawezekana labda anakunjwa sasa hivi

Akili za usiku hizi
Halafu hapohapo anakupromise utamwoa akiwa bikra. Aisee...
 
Nawaza tu na kabaridi hiki mke wangu mtarajiwa nisiyemjua inawezekana labda anakunjwa sasa hivi

Akili za usiku hizi

Mkuu leo naona unawaza future wife wako.....labda yupo kwenye mkesha
 
Duuuu hakikaa na muombeee Sana'a mungu akupe mwemaa mke oooohhhhhooohhh
 
usingizi wenyewe hauji wala nini
 
Akikunjwa na wewe kunja kwani kuna sida gani? Nawaza tu.
 
umekalia kuwaza papuchii tuuu wakti vile vimaji vikishakutoka unaiona ovyoo tuuu
 
Kitu kinachongoza kwa kuvuliwa duniani ni chupi ikifatiwa na Samaki nk kuna takribani watu B3.9 kati ya B7 wanachezea dushe sahv according to my statistics...
Naombea tu anayemkamua my wife to be huko awe mzembe mzembe asikaze saaana
Mkuu unaogopa kuja kukuta bwawa? Teh teh teh...
 
Na wewe mme wake mtarajiwa unafanywa nini?
 
Kitu kinachongoza kwa kuvuliwa duniani ni chupi ikifatiwa na Samaki nk kuna takribani watu B3.9 kati ya B7 wanachezea dushe sahv according to my statistics...
Naombea tu anayemkamua my wife to be huko awe mzembe mzembe asikaze saaana
Akiwa mzembe nae mkeo atakuwa mzembe.......apate mchapa kazi ili akija kwako kahitimu kila style.......
 
Ha ha ha wanaume kupenda vizur,umenipa wazo na mie mume mtarajiwa achunwe tu taratibu huko akumbuke kuweka Akiba mana mmmh hatar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…