Nawaza tu.

Kwa kweli somo zuri sana hili la kufungia mwaka sema 2 hapa kwa 4ne kidubwashika cha senks sikioni ila nimejifunza ki2




Nashukuru kama umejifunza kitu na siku utakapokiona kile kidude cha senksi usisahau kunitendea haki mama.
 
Umesha wahi kuwaza ngono mzee?
 



Bado tunaenda mdogomdogo,mambo mazuri hayataki haraka mama.
 
Ahsante sana pakamweusi, hilo ni tatizo kubwa sana kwenye ndoa nyingi au mausiano mengi,ila next time naomba usibold maneno yote, bold neno unalotaka kuweka msisitizo, pia weka paragraph ili mtu asichoke kusoma, enjoy
 
Ahsante sana pakamweusi, hilo ni tatizo kubwa sana kwenye ndoa nyingi au mausiano mengi,ila next time naomba usibold maneno yote, bold neno unalotaka kuweka msisitizo, pia weka paragraph ili mtu asichoke kusoma, enjoy




Nimekusikia mama hilo la paragraph nitajitahidi na hilo la bold pia lakini huo ndio mtindo wangu wa uandishi naonesha msisitizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…