NAWAZA

NAWAZA

Kennethmhaiki

Member
Joined
Feb 21, 2013
Posts
64
Reaction score
37
Kwa muda mrefu sasa, tumekuwa tukichukua wachezaji wengi wa nje kuja kucheza ndani kuliko sisi tunavyochukuliwa kwenda nje, je hii ina maana kuwa hata sisi wachezaji viwango vyetu ni duni au ni lack of network na hao mawakala...
 
Ligi ya Tanzania inajitahidi kulipa vizuri na ina ushindani
 
Miaka hii miwili ongezeko la watanzania kwenda nje pia limeshamiri;

Ukiachana na vingine ligi ya bongo inalipa vizuri na ina ushindani pia. Hata kwenye ubura wa ligi na vilabu sasa tupo nafasi ya 12 tumeyazidi mpaka mataifa kama Cameroon, ivory coast , Ghana nk. Kwa ubora wa ligi na hata maslah.

Kwaiyo tusiji dharau sana
 
Back
Top Bottom