Willingtone John
Member
- Dec 3, 2016
- 36
- 18
Kwa muda sasa nimekuwa nawaza biashara ya kufavya nikaona biashara ya dagaa inaweza kuwa nzuri kuchukua dagaa mwanza au bukoba unapereka congo na kule unaweza kuchukua vitenge na kuja nanyo huku na miji ambayo nafikilia kwenda ni Bukavu au goma,, kama kuna mwenye kuelewa vizuri mazigira ya kule naomba anijuze ,, Asante