AMOXYCILLIN
Member
- Aug 31, 2014
- 17
- 1
Ndugu zangu naomba sana kwa aneyeelewa vizuri haya mambo anifahamishe. Nataka kufanya mtihani wa kidato cha sita. Nilimaliza form iv siku nyingi ila siku bahatika kuendelea.
Je naweza kusoma masomo matatu hata kama hayapo katika mpangilio wa kombi? kwa mfano biolgy, geography, mathematics, lengo langu mimi nipate principal mbili ili niwe na sifa za kwenda chuo.
Napenda sana ualimu katika hesabu au biology.
Natanguliza shukrani.
Je naweza kusoma masomo matatu hata kama hayapo katika mpangilio wa kombi? kwa mfano biolgy, geography, mathematics, lengo langu mimi nipate principal mbili ili niwe na sifa za kwenda chuo.
Napenda sana ualimu katika hesabu au biology.
Natanguliza shukrani.