Naweza ku polish gari yangu kwa dar salaam?

Naweza ku polish gari yangu kwa dar salaam?

shalet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
3,430
Reaction score
3,547
Habari wadau nauliza kama naweza polish gari kuongeza ule mng'ao kama wa gari jipya (wax) kwa dar, ni garage gani nzuri na price kama ikiwezekana kujua au kama naweza nunua wax nika polish mwenywe.

Shukrani.
 
Carwash nyingi wanafanya. Kuna moja ipo Mlimani City inaitwa Arusha carwash nadhani. Ofcoz utapigwa hela nyingi ila ungeweza ungenunua tu vifaa utafanya mwenyewe.

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom