Naweza kubadili kozi nikifika chuoni?

Kivule

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
639
Reaction score
662
Nimefanya second round nimeandikiwa PROCESSED SUCCESFULLY YOU HAVE BEEN SELECTED niliomba geoinformatics apo ardhi university, so jaman naweza kubadili nkifika chuoni nikaenda geomatics mana nimesoma PCM na nna B+ C E????? na mkopo inakuaje????
 
Ya ukifika chuo unaweza badilisha n kuhusu mkopo,, ata ka utabadilisha utakufwata huko huko uliko even f utahama chuo kbsa,, chuo kingine utachoenda mkopo wako utakufwata...
 
ahsante sana kaka, ubarikiwe.
 
Mbona unamkatisha tamaa mwenzio? Cha msingi dogo ajitahidi na masomo yake hakuna linalo shindikana!

Si mkatishi bali anatakiwa ajue shule geomatics haiitaji masiala lasiivyo atarudi nyumbani
 
Dogo cha msing,, ukifka chuo consetrate in yo studies kwa njia hyo ndo utafanikiwa bt ukipenda mambo meng itakua vigum kidogo kutoka ndugu yangu
 
Ya ukifika chuo unaweza badilisha n kuhusu mkopo,, ata ka utabadilisha utakufwata huko huko uliko even f utahama chuo kbsa,, chuo kingine utachoenda mkopo wako utakufwata...
Jaman m nae in mojawapo Wa wahanga hawa Wa 2nd selection. Nimejikuta nimechagua coz yenye ada kubwa mpaka nahisi kupagawa. sa nam nauliza kwamba nikihama hio coz mkopo watanipatia name he hakuna usumbufu wowote Wa kubadilisha coz
 
Ndugu mkopo unapewa tuu,, sema unaeza pungua kulingana na koz,, coz kila koz ina maxmum loan yake n mambo ka special faculty pia ya inaeza panda au shuka
 
na mie nimechagua bachelor of
science hortculture sua kwenye
second round selction lakini
sifahamu hii course ipoje na ajira
zake naomba kwa anayefahamu
anishauri niisome au nijaribu kubadili nikifika chuo
please
 
na mie nimechagua bachelor of
science hortculture sua kwenye
second round selction lakini
sifahamu hii course ipoje na ajira
zake naomba kwa anayefahamu
anishauri niisome au nijaribu kubadili nikifika chuo
please

Kapige hio hio,ipo vzur sana,ucbadilishe wala nini
 
Nimefanya second round nimeandikiwa PROCESSED SUCCESFULLY YOU HAVE BEEN SELECTED niliomba geoinformatics apo ardhi university, so jaman naweza kubadili nkifika chuoni nikaenda geomatics mana nimesoma PCM na nna B+ C E????? mkopo inakuaje????

afu ingia kwa profile yako. uone hyo geoformstic bado ipo?? maana mi nilifanya nikaandikiwa kama ww, you have been selected bt baada ya mda mchache haipo na mpaka sasa system ya sec round wameifunga.
 
afu ingia kwa profile yako. uone hyo geoformstic bado ipo?? maana mi nilifanya nikaandikiwa kama ww, you have been selected bt baada ya mda mchache haipo na mpaka sasa system ya sec round wameifunga.

dah kweli kaka gawa tcu wanagongwa
 
Nimefanya second round nimeandikiwa PROCESSED SUCCESFULLY YOU HAVE BEEN SELECTED niliomba geoinformatics apo ardhi university, so jaman naweza kubadili nkifika chuoni nikaenda geomatics mana nimesoma PCM na nna B+ C E????? na mkopo inakuaje????





dogo kasome hiyo hiyo course nzuri tu watu wa geomatics mtatofautiana mwaka wa tatu hila vitu karibu vingi mnasoma sawa..
 
...naomba kujuzwa kuhusu hii coz ya animal science pale sua...siilewi and kuna uwezekano wa kuibadili nkfka chuo?
 
Si mkatishi bali anatakiwa ajue shule geomatics haiitaji masiala lasiivyo atarudi nyumbani

duuuhh ....hii ndio jeuri ya mbongo akijua kitu!! kwan ni wapi kasema ataleta masihara? kwani ni wapi kasema akifika chuo hatasoma?
 
...naomba kujuzwa kuhusu hii coz ya animal science pale sua...siilewi and kuna uwezekano wa kuibadili nkfka chuo?
Ulichaguaje kozi ambayo huijui? kwa kifupi..

Animal science ni kozi inayodeal na domestic animals!! mara nying hawa watu wanafanya kazi na watu wa vet!! ni koz nzuri kama uko commited ni rahis kujiajiri na kuajiriwa pia!!
 
Ulichaguaje kozi ambayo huijui? kwa kifupi..

Animal science ni kozi inayodeal na domestic animals!! mara nying hawa watu wanafanya kazi na watu wa vet!! ni koz nzuri kama uko commited ni rahis kujiajiri na kuajiriwa pia!!

asante nashukuru kwa mawazo yako_Mungu akubariki
 
Nimefanya second round nimeandikiwa PROCESSED SUCCESFULLY YOU HAVE BEEN SELECTED niliomba geoinformatics apo ardhi university, so jaman naweza kubadili nkifika chuoni nikaenda geomatics mana nimesoma PCM na nna B+ C E????? na mkopo inakuaje????

Sio Kozi Tu Unaweza Kuchange Hata Jinsia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…